Ninyi ndiyo hamtaki hizo equal responsibilitiesWanawake wana fail sana kwenye ku demand equal rights na kukataa equal responsibilities. Wanashindwa kutambua kwamba haki huja baada ya wajibu Na hii inatokana na kuwa brainwashed na mashirika na wanaharakati wapumbavu wanaodhani haki sawa ni kumpandisha mwanamke na kumshusha mwanaume. Kuna hawa ambao wengine wanajiita superwomen wapumbavu kabisaaaa
Majukumu ya mwanaume ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na ya mwanamke ni kufanya kazi za ndani na kulea mume na watoto sasa leo hii wanaume mnataka wanawake tuingilie majukumu yenu ila ninyi hamtaki kuingilia majukumu yetu
Usawa ni pale mnapotaka wanaume tusifanye maamuzi yeyote nyumbani mpaka tuwashirikishe yaani hata mshahara wangu unataka unipangie tuutumiaje hapo ndio mnapotuchosha
Lakini hata tukitumia akili tu ya kawaida ninyi hamuoni kama mnawabebesha mizigo wanawake??Huruma wao wanaona ndio haki yao.
Yaani Hawa wa hivi ndio mama wa mabinti watakaokuwa wake za watu miaka ijayo.
Nawaonea huruma Sana waoaji wa miaka hiyo
Agiza pombe kali san itakayokufny uwepo kitndn cku mbil ila ujilipieNahisi nipo nje ya mada kidogo lakini sometimes wanawake tunajichanganya
Tunataka haki sawa kwa wote wakati huo huo tuna ile kauli mbiu yetu eti wanawake tukiwezeshwa tunaweza...SMH![emoji17][emoji17]
Kwanini tuhitaji kuwezeshwa wakati tuko na mikono na miguu miwili mixer ubongo kama wanaume
Wanawake wengi wa leo wanapemda usawa hasa katika mambo ya ndani...
*kuna baadhi ya wanawake huweza kuwapangia wanaume majukumu kwa mfano, wanawake wengine wanathubutu kumwambia mumewe." leo ni zamu yako ya kumuogesha mtoto.."
* Usishangae mwanamke kumwambia mumewe mmoja apike ugali mwangine apike mboga.
*mmoja aoshe vyombo mwingine apike
* mwanamke anapanga yeye afue, mume atapiga pasi.
* wanawake wa leo wanataka wakorome ndani, mume awe anapikea maagizo tu
Mwanamke anataka akitenga chakula kikishaliwa, mume atoe vyombo...
******wanawake wa leo kwenye tendo wanataka wakae juu, sisi tukae chini..[emoji43][emoji43][emoji43]....binafsi napenda kukaa chini, yeye aje juu..[emoji85][emoji85][emoji85][emoji87][emoji87]
Kwa misingi ya kiafrika, hayo mambo niliyoyaeleza mume anaweza kufanya kama sehemu ya mapezi kwa mkewe, ila kuna wanawake wwngine wanakaza sauti na kugawanya majukumu hayo kwa mumewe..
######Jukumu kuu la mume ni kumoenda mke, watoto na kutimiza mahitaji ya familia mf chakula, kodi, ada n.k...
######Jukumu la mke ni kuhakikisha familia inanufaika kutokana na kile baba aliyokileta, kumsaidia baba kazi kama kufua, kupiga pasi, kupika,nk ili baba awe na muda mzuri wa kutafuta kwa ajili ya familia.
Yaani wanawake wamekuwa wakitaka usawa wa 50/50 lakini cha ajabu mwizi akinyata huko nje usiku, utasikia "baba fulani we ndiyo mwanaume, toka kamfukuze mwizi"
Tunaomba na hapa pia mtusaidie ili 50/50 ifanye kazi vizuri.
Mbavu moja ya kushoto kutoka kwa mwanaume haiwez kua sawa na mbavu zilizobaki....Habari za usiku huu wana JF?
Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.
Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?
Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?
Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
Kipimo cha uanaume halisi ni kipi??
kama yapi? hem yatajeUkitoa majukumu yetu ya kubeba mimba kuzaa na kunyonyesha je na majukumu yetu mengine nayo hamyawezi??
Kwani kuna ubaya gani kumshirikisha mke wako?? Kwani haujui kuwa mke ndiyo mshauri namba moja wa mume?? Kama haujui nafasi ya mkeo kwako basi usioe tu kama umeoa basi nampa pole mkeo
KUTAKA KUKITWAA KITI CHA ENZI CHA MUME.Habari za usiku huu wana JF?
Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.
Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?
Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?
Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
Mwenye ndoa ni mwanamume, mwanamke umeletwa ndani kumsaidia mume baadhi ya maeneo. Ni ukweli ambao wanawake wa siku hizi umeukiuka, mkijifanya much know. Mumeo akivutiwa na vya nje maana yake kuna mambo ndani hayajakaa sawa, imekupasa kujitazama na kurekebisha hapo, sio kuleta ushindani. Ndivyo ilivyokuwa tokea awali, pale wanawake walipotambua nafasi ya mwanamume kwenye ndoa.Habari za usiku huu wana JF?
Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.
Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?
Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?
Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.