Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?



Huwa tunamaanisha "chumbani"
unakuta umechukua side chick, mpo kwenye kugegedana, na yeye anataka upige kifo cha mende yeye akae juu, huo ndio usawa wanao utaka.
mwengine anakupigisha "chuma mchicha"

sasa , mwanaume unalala tu, yeye anakata mauno, mkitka hapoa anafurahinsana maana yeye(mwanamke) anakuwa kakugegeda.
 
Upo vizur Mkuu
 
Mmhh kwahiyo wewe unapenda kifo cha mende tu??
 
Ndio, hii insaidia kuangaliana na kufurahia zaidi.

Pia mdudu anaingia mpaka kunako, unaskia kama nyoka flani kaingia
Hongera mkuu wanaume wote wangekuwa kama wewe ingekuwa poa sana
 
Nitumie number yako nikuwezeshe
 
Upo sahihi Cc ephen_
 
Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?
Utakuta Mwanamke anataka Mwaume arudi nyumbani mapema na akiwa Nyumbani asiende kutembea na kutaka simu ya Mwanaume akaenayo bila sababu ya msing, kwakifupi kutaka kumkotroo mwanaume.
 
Utakuta Mwanamke anataka Mwaume arudi nyumbani mapema na akiwa Nyumbani asiende kutembea na kutaka simu ya Mwanaume akaenayo bila sababu ya msing, kwakifupi kutaka kumkotroo mwanaume.
Dooh kwahiyo mwanamke akifanya hivyo anakucontrol, vipi na mwanaume akifanya hivyo kwa mwanamke anakuwa anafanyaje, faida na hasara za kufanya au kutokufanya hivyo ni zipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…