Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Habari za usiku huu wana JF?
Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.
Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?
Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?
Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
Huwa tunamaanisha "chumbani"
unakuta umechukua side chick, mpo kwenye kugegedana, na yeye anataka upige kifo cha mende yeye akae juu, huo ndio usawa wanao utaka.
mwengine anakupigisha "chuma mchicha"
sasa , mwanaume unalala tu, yeye anakata mauno, mkitka hapoa anafurahinsana maana yeye(mwanamke) anakuwa kakugegeda.