Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mbaya zaidi hadi wanawake mnatusema VIBAYA mkiona tunafanya majukumu yenu... Hadi anayesaidiwa naye utamsikia, NIMEMUWEKA KIGANJANI YULE...!!Ni sawa ila mimi naona kama mara nyingi wanawake ndo tunaweza kufanya majukumu yote ambayo yapo ndani ya uwezo wetu ila wanaume kuna baadhi ya majukumu hawawezi kufanya hata kama yapo ndani ya uwezo wao eti kwa sababu tu kwenye jamii yamezoeleka kuwa ni majukumu ya kike na inaonekana ni aibu kwa mwanaume kuyafanya hii imekaaje?
Sasa mbona kutwa wanaume mnatudharau na mnatudhalilisha wanawake mitaani na mitandaoni?Mimi ninahisi uwezo aliopewa mwanamke Ni mkubwa Sana kulinganisha na mwanaume. Mwanamke ndiye mwenye uwezo wa kuuhifadhi uhai wa binadamu kwa miezi 9 na pia kuutunza kwa miaka mingi zaidi. Mwanamke ni safe keeper wa jamii, mwanamke Ni chombo Cha manung'uniko ya dunia hii kwa nafasi Kama mke na Kama mama. Pepo ya dunia hii ipo kwenye miguu ya mwanamke
Huwa nasikitika nikiona mwanamke akijaribu kuwa Kama mwanaume ili ajihisi superior. MWANAMKE YOYOTE ANAYETAFUTA USAWA NA MWANAUME HUPOTEZA NGUVU YAKE KAMA MWANAMKE.
Wanataka tufanye majukumu yao kama yapi?
Mie nachoona kiko fair ni kila mtu haijalishi ni mwanaume ama mwanamke kufanya anachoweza kufanya ambacho kiko ndani ya uwezo wake....sio eti kusubiri ooh hiki kitu anatakiwa afanye mwanamke ama kile afanye mwanaume
Ndo maana %kubwa ya wanawake mnabaki kuwa single mom kwasababu ya kutaka usawa,,,usitake kufanana na mwaume hata siku moja mwanaume anaweza kupanga kuoa mwaka fulani lakini mwanamke hilo huwezi!mwanamke jitambue baki kwenye nafasi yako na mwanaume abaki kwenye ufalme wake.Habari za usiku huu wana JF?
Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.
Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?
Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?
Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
Umeongea simple Sana mkuu. Nilikuwa na mawazo light Sana kabla sijapata chance ya kulea ujauzito na mtoto mchanga. Nilipata kuona Kila step anayopitia mwanamke bro. Hicho kitu kina mkono wa Mungu na usishangae mtoto akipatwa na tatizo bhasi tumbo la uzazi humshika mwanamke ilhali MWANAUME unaeza kuwa unakula ulabu tu na wana.upo sawa mkuu ila hakuna cha uwezo mkubwa wa mwanamke wala nini... ndio wajibu wake na kazi aliyoumbwa kuja hapa duniani kuifanya ndio maana ana uterus, ovary na uwezo wa kukaa na mtoto huyo pia kapewa ingelikua na sisi wanaume tunavyo hapo ndio wangekua na la kusema....kwa mfano wao pia hawaezi kupata hiko kiumbe bila ya kuwepo na mwanaume...mungu aliamua kubalance na kumpa kila mtu majukumu yake na kila mtu afanye yake kwa upande wake
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mbaya zaidi hadi wanawake mnatusema VIBAYA mkiona tunafanya majukumu yenu... Hadi anayesaidiwa naye utamsikia, NIMEMUWEKA KIGANJANI YULE...!!
Sasa mbona kutwa wanaume mnatudharau na mnatudhalilisha wanawake mitaani na mitandaoni?
Mimi naona hii haki sawa ilitokana na baadhi ya wanaume kutokutimiza majukumu yao kwa wake zao maana majukumu ya mwanaume ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na majukumu ya mwanamke ni kufanya kazi za ndani na kulea mume na watoto ila kuna wanaume waliwanyanyasa wake zao kwa sababu walijua kuwa wake zao waliwategemea wao kwa kila kitumfano wewe nikuulize ukinijibu langu nitakupa lako ...mwanamke anaposema haki sawa kwa wote anakua anamaanishanini? toa mfano wa kitu ambacho mwanaume anapata kwa kuwa ni mwanaume na mwanamke ananyimw kwa kuwa ni mwanamke...?au mwanamke anaposema haki sawa kwa wote anakua ana lenga wapi hasa ni haki zipi ?
😂😂😂Kamusi yangu imenyeshewa naomba tafsiri tafadhali.
Jibu ni simple HAMJIELEWI, mmezidi kujiweka cheap na hamuielewi thamani yenu kabisaa. Wengi hamjui kuwa katika hii life mnatakiwa kuwa na mipaka Kama watoto wa kike ila nyie mnaona kutokuwa na mipaka ndio usasa na kustaarabika, kumbe mnaonekana wapuuzi na msiojielewa na hizo hizo kampani zenu za kiume.Sasa mbona kutwa wanaume mnatudharau na mnatudhalilisha wanawake mitaani na mitandaoni?
Ndiyo ila naona kama hii slogan wanaume huwa mnaimisquote sana ndo maana nikauliza ninyi wanaume kwa upande wenu mnaposema wanawake tunapenda haki sawa huwa mnamaanisha nini?Kwani SLOGAN YA HAKI SAWA ni ya wanaume? Beijing mlienda kufanya nini kwenye ule mkutano?
Sisi tunaitaja tu slogan yenu
Sawa ila mbona wanaume mnakubali tuingilie majukumu yenu huku hamtaki kuingilia majukumu yetu (simaanishi kubeba mimba, kuzaa watoto wala kunyonyesha watoto)? Kwanini?upo sawa mkuu ila hakuna cha uwezo mkubwa wa mwanamke wala nini... ndio wajibu wake na kazi aliyoumbwa kuja hapa duniani kuifanya ndio maana ana uterus, ovary na uwezo wa kukaa na mtoto huyo pia kapewa ingelikua na sisi wanaume tunavyo hapo ndio wangekua na la kusema....kwa mfano wao pia hawaezi kupata hiko kiumbe bila ya kuwepo na mwanaume...mungu aliamua kubalance na kumpa kila mtu majukumu yake na kila mtu afanye yake kwa upande wake
Binafsi ukinisikia nasema wanawake mnapenda hali sawa namaanisha MNATAKA wanaume tufanye majukumu yote, YENU na YETU.... yaani ingewezekana MNATAKA hata mimba tubebe...Ndiyo ila naona kama hii slogan wanaume huwa mnaimisquote sana ndo maana nikauliza ninyi wanaume kwa upande wenu mnaposema wanawake tunapenda haki sawa huwa mnamaanisha nini?
Dearest one. Movement ya kudai haki sawa haikusababishwa na mtu yoyote kutokutimiza majibu yake Bali ni ile Hali ya kunyanyapaliwa au kunyimwa fursa kutokana na jinsia ya muhusika.Mimi naona hii haki sawa ilitokana na baadhi ya wanaume kutokutimiza majukumu yao kwa wake zao maana majukumu ya mwanaume ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na majukumu ya mwanamke ni kufanya kazi za ndani na kulea mume na watoto ila kuna wanaume waliwanyanyasa wake zao kwa sababu walijua kuwa wake zao waliwategemea wao kwa kila kitu
Ndipo sasa wanawake wakaona kwanini wanyanyaswe wakati sisi wote ni binadamu basi na wao wakaona waanze kujitafutia pesa zao wenyewe ili wasinyanyaswe tena na ndipo haki sawa ilipoanzia sasa hii ni kwa upande wa kiuchumi
Haki sawa nyingine inayoongelewa ni ile ya kupendana, kuvumiliana, kusameheana na kuheshimiana na hii ilitokana na kwamba wanaume wengi hasa wa kiafrika wanataka wao tu ndo wapendwe, wavumiliwe, wasamehewe na waheshimiwe na wake zao ila wao hawana muda wa kufanya hayo kwa wake zao
Na wake zao wakikosea basi hao hao wanaume aidha watawapiga watawasaliti watawapa talaka au watawaongezea wake kwa kisingizio cha kuwa wao ndo wanatoa mahari kwahiyo wanaona wakishatoa tu hizo mahari kazi yao imekwisha kazi inabaki kwa mwanamke sasa kuhakikisha anafanya mengine yote kulinda ndoa je hiyo ni sawa?
Unajua kwanini wanasema hivyo? Kwa sababu wameshaaminishwa kuwa wanaume hamtakiwi kufanya hayo majukumu ila wanaume mngeonyesha nia ya kuyabeba hayo majukumu na kuyafanya kama ya kwenu hakika jamii ingezoea tuMbaya zaidi hadi wanawake mnatusema VIBAYA mkiona tunafanya majukumu yenu... Hadi anayesaidiwa naye utamsikia, NIMEMUWEKA KIGANJANI YULE...!!
uko sawa ila ukweli ni kwamba wanawake wanashindwa kutofautisha kati ya haki na ubinadamu wanachokosa wanawake ni ule upendo wa kuhurumiana na kusaidian ila wao wanadhani ni haki ndio maana utasikia leo hii wanaseam tutafute pesa ila kiukweli pesa haisolve chochote kama hakuna mtu karibu yako wa kukuonesha ubinadamu na utu utakuta atatafuta pesa ila moyoni anahis bado kuna kitu kina pwaya...mfano mzuri angalia zari ni mwanamke mwenye pesa ila utakuta na yeey kila kukicha anakimbizana na wanaume mara wanaitana eti king bae...kwnye kusalitiana na kupigana kote huko ni kukosa ubinadamu amabao uliutegemea kutoka kwa mwanaume wake na akaukosa sasa badala ya kujua kinacho takiwa ni ubinadamu wao wanasema haki...its misconception kuna wanawake hapa hapa tanzania ukisema wanawake wananyanysaw atakushangaa maana ana mtu anayemjali na kumuheshimu...halafu pia ukija katika hali nyingine mwanamke n kiumbe anayependa kutukuzwa hata katika majukumu yake mwenyewe still bado atataka apewe compliments..na psychology yake na mind yake iko very complicated mfano kuna wanawke wengi tuu nilishasikia wanasema eti mwaume ambaye hamkoromie au kumtisha tisha maana ake church boy eti wanaboa sasa hapo ndio utagundua wanawake wako very complicatedMimi naona hii haki sawa ilitokana na baadhi ya wanaume kutokutimiza majukumu yao kwa wake zao maana majukumu ya mwanaume ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na majukumu ya mwanamke ni kufanya kazi za ndani na kulea mume na watoto ila kuna wanaume waliwanyanyasa wake zao kwa sababu walijua kuwa wake zao waliwategemea wao kwa kila kitu
Ndipo sasa wanawake wakaona kwanini wanyanyaswe wakati sisi wote ni binadamu basi na wao wakaona waanze kujitafutia pesa zao wenyewe ili wasinyanyaswe tena na ndipo haki sawa ilipoanzia sasa hii ni kwa upande wa kiuchumi
Haki sawa nyingine inayoongelewa ni ile ya kupendana, kuvumiliana, kusameheana na kuheshimiana na hii ilitokana na kwamba wanaume wengi hasa wa kiafrika wanataka wao tu ndo wapendwe, wavumiliwe, wasamehewe na waheshimiwe na wake zao ila wao hawana muda wa kufanya hayo kwa wake zao
Na wake zao wakikosea basi hao hao wanaume aidha watawapiga watawasaliti watawapa talaka au watawaongezea wake kwa kisingizio cha kuwa wao ndo wanatoa mahari kwahiyo wanaona wakishatoa tu hizo mahari kazi yao imekwisha kazi inabaki kwa mwanamke sasa kuhakikisha anafanya mengine yote kulinda ndoa je hiyo ni sawa?