DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,528
- 1,955
kwa mfano jukumu kama lipi ambalo mwanaume anapenda aingiliwe na lipi mwanaume hapendi majukumu yenuSawa ila mbona wanaume mnakubali tuingilie majukumu yenu huku hamtaki kuingilia majukumu yetu (simaanishi kubeba mimba, kuzaa watoto wala kunyonyesha watoto)? Kwanini?