Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
- Thread starter
- #101
Kama mwanamke ni mama wa nyumbani hatafuti pesa basi hastahili kusaidiwa majukumu yake na mumewe ila kama anatafuta pesa kwanini mumewe asimsaidie? Hivi wanaume mmeshajaribu kuvaa viatu vyetu na kujiuliza kuwa kama mngekuwa nyie mngeweza?basi kumbe hapo ndo huwa mnakosea mwanaume sio kwamba akisema akili ya maisha ni kutafuat pesa akisema akili ya maisha ni mwamke anayelewa kwamba kuna kupata kuna kukosa na kuna mihangaiko mingi katika maisha na pengine kutokupata kabisa na uwezo wa kukubaliana na hali hiyo ndio akili ya maisha anayitaja mwanaume kwa sababu kwa mwanaume anayejielewa mwanamke kwake ni investment katika familia...japokua sikatai kuna wanaume ambao wanajifany awao ndio wanaolewa lia sio kwamba hawajui kutunza familoa ni jukumu lao ila ni ujinga tuu walionao...kuhusu kuosha vyombo ni kwamba hebu assume wewe ni ma awa nyumbani kazi yako ni kuweka mji safi na watoto waonekane ni wenye afya halafu unakaa mpaka jioni hujaosha vyombo mtu kaja amechoka kaleta pesa ya kula unamuambia aodhhe vyombo we unaona hiyo ni haki....ukija hoj y apili system ya maisha huku africa imabedilika sana unakuta wadada pia wanaenda shule wanasoma masters degree sasa mtu keshasoma je nikimuambia akae home aache kazi alee familia atakubal jibu ni hapana ...kwa au hata wewe assume mama kawapikia halafu kaondoka anakuta hamjaosha vyombo je alikua anaachekea?
Imagine wote mnatoka alfajiri mnaenda kazini halafu wote mnarudi usiku lakini mume akirudi anakaa sebuleni miguu juu halafu mke anapitiliza moja kwa moja jikoni anaandaa chakula akimaliza anaosha vyombo halafu ndo mnaenda kulala hivi hiyo ni sawa kweli?