Me naomba niwaulizeni nyote. Kwani mwanamke ukapata elimu yako, ukamaliza na kutafuta kazi na ukatapata,ukasave mshahara kwenye account yako, ukafanya usafi wa nyumba kila wakati, ukafua nguo za mume wako weekend, ukamheshimu mume wako kwa kusikilizana nae na kuongea nae kwa adabu na heshima na kumpa moyo wa kutafuta na hata akikwama ukatumia pesa yako uliyosave kulipia utility za familia, na ukawa muaminifu bila kujihusisha na mtu mwingine yoyote nje ya mume wako, hivi ukafanya yote haya unapungukiwa kitu gani....