Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataoa akiamini siku akipata anayempenda ataongeza mke wa pili.Sasa kama mwanaume hampendi na hamheshimu mwanamke husika kwanini anafikia hatua ya kumuoa? Kwani kuna wanaume wanalazimishwa kuoa?
Wanatakiwa kuwaje? Kwamba mwanamke ndo afanye majukumu mengi kuliko mwanaume?
Ngoja waje waisome mkuu...na wa kukosa wakosoe pia..ila ukweli lazima tuuseme tuAise nimekosa hata cha kuongezea ndugu yangu yaani umeenda mule mule hadi nimehisi kama nikiongezea hoja yangu naweza jikuta naharibu comment yako daah umemaliza kila kitu na natamani wanaume wote wangesoma hii comment yako wakaelewa ninachomaanisha
mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?
Kitu pekee nnachojua Most Women demand equal rights and not equal Responsibilties
Rights and duties/responsibilities are inseparable.Tusaidie kutuelewesha zaidi maana kwenye responsibilities naona kama it now goes without saying...nyiingi zenu mmeanza kuziachia taratibu zinaangukia kwa akina mama....in the beautiful name of 'kusaidiana majukumu'....
Na kwanini wakati kwa wakristo hairuhusiwi kuoa mke zaidi ya mmoja? Kwahiyo anapooa mwanamke ambaye hampendi lengo lake linakuwa ni kwenda kumtesa mtoto watu au? Na kutokana na hayo majibu yako unaona wanaume wanaofanya hivyo wapo sawa sawa kabisa?Ataoa akiamini siku akipata anayempenda ataongeza mke wa pili.
Ha ha ha ha nmeipenda "hii in the beautiful name of 'kusaidiana majukumu" Ki ukwel mlikua sahihi kwenye kudai haki zenu kama binadamu wa kawaida... Ila sehem ambayo mnafeli kwenye kutimiza wajibu wenu kama ambavyo haki yako inavyokutaka ngoja nikupe mfano mwepesiTusaidie kutuelewesha zaidi maana kwenye responsibilities naona kama it now goes without saying...nyiingi zenu mmeanza kuziachia taratibu zinaangukia kwa akina mama....in the beautiful name of 'kusaidiana majukumu'....
Exactly na wala hatuhitaji kuwa juu yenu tunajua kuwa siku zote tupo chini yenu ila tunachotaka kusema ni kwamba wanaume wasipende kutufanyia wanawake kama vile ambavyo wao hawapendi kufanyiwamwanamke kaumbiwa mwanaume.........sehemu ya ubavu wa manaume.....so ubavu hauwezi kuwa mwili tena utabaki vivyo hivyo......tukiwapenda mtupende, tuheshimiane na kushirikiana......usawa uliopo ni binadamu wote ni sawa na wana haki sawa.......
Na wakati huo mwanaume anafanya nini?
1. Sio kila mkiristo anamuogopa Mungu kama wewe unavyomuogopa.Na kwanini wakati kwa wakristo hairuhusiwi kuoa mke zaidi ya mmoja? Kwahiyo anapooa mwanamke ambaye hampendi lengo lake linakuwa ni kwenda kumtesa mtoto watu au? Na kutokana na hayo majibu yako unaona wanaume wanaofanya hivyo wapo sawa sawa kabisa?