Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huruma wao wanaona ndio haki yao.Mnapenda usawa kwenye kila kitu...
Kitu ambacho hakiwezekani kua na usawa wa 50/50 kati ya mwanamke na mwanaume..
Ili mwanamke aende sawa na mwanaume inampasa mwanaume amuhurumie mwanamke kwenye mambo mengi sana...
Cc: mahondaw
Kwema?.Huruma wao wanaona ndio haki yao.
Yaani Hawa wa hivi ndio mama wa mabinti watakaokuwa wake za watu miaka ijayo.
Nawaonea huruma Sana waoaji wa miaka hiyo
PowaaKwema.
Habari aisee.
Na wewe ni feminist Kama mtoa mada?
Ha ha ha ha.Powaa
Feminist bongo.?!kelele tu
😂😂wanaume mna roho ndogo snHa ha ha ha.
Usichepuke pia aafu ukamletea jamaa dharau.
Atakuchoma na gunia mbili za mkaa na mafuta!!
Ni sheria ngumu tu tulizojiwekea wanadamu kwa kisingizio Ni za Mungu.[emoji23][emoji23]wanaume mna roho ndogo sn
Nyie halali
Sie mnataka kuua mtu
Dunia siku iz daah..wanawake naona ni wamechoka kujishusha sijui
Si ndo apo halafu anataka tufanye kazi zao. Eti mwanaume nipike wakati mwanamke yupoAnalalamika utafikiri wanalazimishwa kufanya hayo majukumu..
Sio rahisi mambo ni mengi sn afu mda mdogoNi sheria ngumu tu tulizojiwekea wanadamu kwa kisingizio Ni za Mungu.
Utaratibu wa divorce ungekuwa rahisi kuzinguana kungepungua.
Ukiona huna furaha mnapeana muda apart.
Kama hakuna suluhu mnamaliziana talaka kila mtu anaenda huko.
Haya mambo ya kuambizana alichokiunganisha Mungu wakati mfungishaji ndoa Ni mwanadamu Ni uongo tu.!!
Kulazimishana kuishi pamoja ndio kunaletea haya yanayotokea.
unakoroma ili iwe nini boss, si uongee tu na ueleweke.Hivi wewe kati ya mume na mke unataka nani akorome.
Ili ionekame mwanaume ni nani?unakoroma ili iwe nini boss, si uongee tu na ueleweke.
Wanawake wengi wa leo wanapemda usawa hasa katika mambo ya ndani...Habari za usiku huu wana JF?
Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.
Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?
Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?
Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
Majukumu ya mwanaume ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na ya mwanamke ni kufanya kazi za ndani na kulea mume na watoto sasa leo hii wanaume mnataka wanawake tuingilie majukumu yenu ila ninyi hamtaki kuingilia majukumu yetuTatizo hutaji hayo majukumu yenyewe ni yapi...