Hivi wanaume tunakwama wapi? Inakuwaje ujichubue?

Hivi wanaume tunakwama wapi? Inakuwaje ujichubue?

Kila iitwapo leo Wanaume wanazidi kupungua, mimi binafsi hata Wanaume wanaotoga masikio huwa siwaelewi kabisa.
 
View attachment 1744949
Siku za karibuni kumeibuka wimbi la wanaume wengi kujichubua, hasa wanaume wa Kinondoni.
Walianza wanamuziki wa Kikongo, lakini sasa hata wanafunzi wanajichubua hasa wa vyuo.
Tunakwama wapi jamani?
Asipo kuwa mweupe unafikiri atadanga wapi mkuu Bujibuji . Hao ni Marioo vijana wa ganda la ndizi. Wakipanda vyeo wanakuwa kama kiongozi wao James Delicious
 
Hapo mmeaona ngozi tu bado hamjasikia sauti ilivyo, hamjaona akishika sim kutype, hamjaona akitembea na akitaka kukaa.
 
View attachment 1744949
Siku za karibuni kumeibuka wimbi la wanaume wengi kujichubua, hasa wanaume wa Kinondoni.
Walianza wanamuziki wa Kikongo, lakini sasa hata wanafunzi wanajichubua hasa wa vyuo.
Tunakwama wapi jamani?
Kwamba wanaume wa kinondoni.
Vipi wanaume wa kinondoni mmejiskiaje? Au nd proud to be kinondoni
 
Back
Top Bottom