That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Roger that!One man down, i repeat we have lost another man
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roger that!One man down, i repeat we have lost another man
Wacha bhana...namsubiria waifu arudi ndo njie🤓Ahahaha. Njoo home takupikia, niko mwenyewe tu wife kaenda kujifungua
Kweli mkuu maana hii ishu naona tulikuwa tukiisikia kwa wacongo sana sana , mara wakaja wajamaica sasa hivu ni watanzania.Aliyeturoga kafa
Rangi kama kitumbuaDuh
Sitaki hata kuimajin makalio yakoje
Ni wapumbavu kabisaBujibuji sio kujichubua tu kuna upumbavu mwingi tu wanaume wa hapo jijini Dar wanafanya kama:
1. Kujipodoa uso
2. Kubadili rangi za nywele
3. Kunyonyolewa vinyweleo vya miguuni
4. Kupaka rangi kucha
5. Kupaka lipstick zile za kung'ang'a
6. Kukatwa kuchwa na kusuguliwa miguu
7. Kusuka rasta kama hizi za wakima mama.
Yaani kuna upumbavu upumbavu mwingi sana na hapo bado kwenye mavazi ndio utachoka kabsaa.
Bujibuji sio kujichubua tu kuna upumbavu mwingi tu wanaume wa hapo jijini Dar wanafanya kama:
1. Kujipodoa uso
2. Kubadili rangi za nywele
3. Kunyonyolewa vinyweleo vya miguuni
4. Kupaka rangi kucha
5. Kupaka lipstick zile za kung'ang'a
6. Kukatwa kuchwa na kusuguliwa miguu
7. Kusuka rasta kama hizi za wakima mama.
Yaani kuna upumbavu upumbavu mwingi sana na hapo bado kwenye mavazi ndio utachoka kabsaa.
Yes. Ushoga ni hatua, huanza kidogo kidogoJinga hilo kwanza ndo yanakuwaga mashoga hayo
Hamna, hata wife nilimwambia kuwa ninatafuta mchepukoWacha bhana...namsubiria waifu arudi ndo njie🤓
Aaaah kumbe ulikuwa natafuta mchepuko,,,oky endelea kutafuta Chief.✌🏿Hamna, hata wife nilimwambia kuwa ninatafuta mchepuko
Basi hautakuwa mchepuko bali utakuwa mkeAaaah kumbe ulikuwa natafuta mchepuko,,,oky endelea kutafuta Chief.✌🏿