majam19
JF-Expert Member
- Nov 13, 2024
- 900
- 971
Habar za majukumu ndug zangu,
Kuna jambo la sis wanaume hasa vijana tunakuwa na tabia za uzushi Kwa wanawake.
Yani mwanaume unakaa na wenzio unatoa sifa mbaya za Binti ambazo hata ukweli hazina mara nmepiga,mara ndani mchafu,mara hajui kukataa,mara ametoa mimba
Halafu asilimia 98% ya maneno hayana ukweli
Lengo n nn hasa
NIpeni mawazo yenu jamn maana uyu rafiki yangu,jamaa yang nmemchoka Kwa tabia yake ya kunikatisha tamaa Kwa Binti ninae mpenda yeye anatoa negative fixture ambazo sio hata za uhakika
Je? uliwah kukutana na swala kama ili na ulichukua hatua gani
Kuna jambo la sis wanaume hasa vijana tunakuwa na tabia za uzushi Kwa wanawake.
Yani mwanaume unakaa na wenzio unatoa sifa mbaya za Binti ambazo hata ukweli hazina mara nmepiga,mara ndani mchafu,mara hajui kukataa,mara ametoa mimba
Halafu asilimia 98% ya maneno hayana ukweli
Lengo n nn hasa
NIpeni mawazo yenu jamn maana uyu rafiki yangu,jamaa yang nmemchoka Kwa tabia yake ya kunikatisha tamaa Kwa Binti ninae mpenda yeye anatoa negative fixture ambazo sio hata za uhakika
Je? uliwah kukutana na swala kama ili na ulichukua hatua gani