Kila mtu katika tukio hilo anaweza kutafsiri kulingana na akili yake.
Mimi nasema hapo Michelle hakuwa na nia ya kuonyesha wivu, kumbukeni kwamba hapo ilikuwa ni msibani na katika hali ya kawaida msibani n8 mahali pa maombolezo sio mahali pa kuongea politics na vicheko na tabasamu nk, cha muhimu zaidi ukizingatia ni mtu gani aliyefariki, Michelle ni mwanamke anayejitambua na muelewa, anamuelewa vyema Obama, kuingia katikati yao Michelle alitaka kuwakumbusha kwamba wapo msibani and there is no room for gossips.
Michelle aliingia hapo kati kuwakumbusha Obama na huyo Madam (kiongozi) kwamba wapo msibani, hapo hakuna cha wivu, kwani kama huyo madam angekuwa na "nia yake" kwa obama kamwe asingetumia njia hiyo ya hadharani kiasi hicho bali angaweza kubuni ziara ya kiserikali na angemfuata Obama hukohuko states.