Hivi wanawake huwa mna kasoro gani hata mliokwenda shuleni

Hivi wanawake huwa mna kasoro gani hata mliokwenda shuleni

Me ndyo huyo mjuba mwenye midevu

Hata Michelle hakununa siku hyo
 
Hawa viumbe wana maajabu sana, unaweza kuwa umelala naye kitandani hana nyegge za kutiwa lakini atahakikisha kaukumbatia ub.oo hadi usingizini utafikiri asipoukamatia unahama au unang'oka na kupotea kwenda kwa mwingine
hahahhaha...mimi akiushika lazima shoo aipate..
 
Tunafanana. Yaan narelax vibaya mno single. Nikiwa nadate nakua double shift[emoji23][emoji23]
Mapenz yanauma jaman asikuambie mtu. Nna wivuuu. Kuna muda nitajifanya msela ila vikinipanda utanielezea usela manake ni nn.
Heheheh kumbe eeh,
 
Unaonesha ukipenda unapataga
uchizi kabisa.[emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23] that feeling is the best aisee. Nakuaga na heka hekaaaa. Nikikumbuka nampenda fulan nampigia hapo hapo. Kwanza dk chache unakua unahema kwanza huingei usikilizie mapigo ya pumzi zake kwanza[emoji23]

Halaf unaanza kuwaza kesho sijui nimpelekee zawadi gani jamani. Nawashangaaga sana wengine wanaotupondaga kuwapelekea wapenz wetu zawadi eti tunahonga wanaume. Mapenz matamu nyie. Wivu ndo rahaa ili ubembelezweee jamani. Kuna tuugomvi tudogo tu ili umsikie babby akisema nisamehe mamaa jaman haitatokea tena.

Nna wivuuuuuuuuuuuuu..
Ila sasa hivi nimerelax sana hizi hekaheka achaga kbs[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Heheheh kumbe eeh,
Extro... mapenzi matamu asikuambie mtu mukiwa poa. Ni matamu balaaa.... na wivu kuwepo hailwepeki. Me nikatae kote niwe na wewe tu halaf nione mtu anakuja kuja wakati me nakua nakuweka navyotaka uwe? Maana beibe lazima anunuliwe perfumes nzuri, nguo za kazini, casual etc. Kwangu ni mtu wa thaman sana. Yaan mpenzi wangu ni 1st born wangu. Mapenz ypte atapataaaa.... hivi kwann nisipate wivu. Halaf nikute unamuangalia kwa kumtamani[emoji23][emoji23] naenda kukaa katikati kama michelle.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] that feeling is the best aisee. Nakuaga na heka hekaaaa. Nikikumbuka nampenda fulan nampigia hapo hapo. Kwanza dk chache unakua unahema kwanza huingei usikilizie mapigo ya pumzi zake kwanza[emoji23]

Halaf unaanza kuwaza kesho sijui nimpelekee zawadi gani jamani. Nawashangaaga sana wengine wanaotupondaga kuwapelekea wapenz wetu zawadi eti tunahonga wanaume. Mapenz matamu nyie. Wivu ndo rahaa ili ubembelezweee jamani. Kuna tuugomvi tudogo tu ili umsikie babby akisema nisamehe mamaa jaman haitatokea tena.

Nna wivuuuuuuuuuuuuu..
Ila sasa hivi nimerelax sana hizi hekaheka achaga kbs[emoji91][emoji91][emoji91]
Navuta picha halisi ya namna ulivyo mtundu na mtamu kunako sita kwa sita kwa komenti yako hii. Nakubembeleza hadi unalowana kabla hata hatujagusana aseee wanawake wa hivi mnanoga hatari
 
Extro... mapenzi matamu asikuambie mtu mukiwa poa. Ni matamu balaaa.... na wivu kuwepo hailwepeki. Me nikatae kote niwe na wewe tu halaf nione mtu anakuja kuja wakati me nakua nakuweka navyotaka uwe? Maana beibe lazima anunuliwe perfumes nzuri, nguo za kazini, casual etc. Kwangu ni mtu wa thaman sana. Yaan mpenzi wangu ni 1st born wangu. Mapenz ypte atapataaaa.... hivi kwann nisipate wivu. Halaf nikute unamuangalia kwa kumtamani[emoji23][emoji23] naenda kukaa katikati kama michelle.
Marvelous!!
 
Navuta picha halisi ya namna ulivyo mtundu na mtamu kunako sita kwa sita kwa komenti yako hii. Nakubembeleza hadi unalowana kabla hata hatujagusana aseee wanawake wa hivi mnanoga hatari
Ha ha ha ha..
Penye miti hakunaga wajenzi. Bado mtatuliza. Shida sana aisee. Shidaaaa. Ila love is beautiful mkuu. Sana sana. Hasa mukiweza kuhurumiana.
 
Ila inakuwaje Mwanaume unachekacheka na Mwanamke mwingine mbelw ya mkeo. Hii dharau na kutojitambua.

Halafu wivu ndiyo mapenzi haingii peponi mtu ambaye hana Wivu na mkewe au mumewe.
 
Back
Top Bottom