Hivi wanawake huwa mna kasoro gani hata mliokwenda shuleni

Halaf tukija pinduaga meza inapindukaga vibaya like never seen before. Yaan mtu mpaka huamini ni huyu huyu Pendo alikua hacheui mbele yangu? Yaan tunakuaga wa ajabu balaa. Bora sasa tukujibishe. Kiiimyaaaa[emoji28]
 
Huwa unapokeaga
ma EX kwani? I find it so odd...Mtu kama alikuwa hakupendi mwanzoni au hana shukurani hatakaa awe nayo zaidi na zaidi utakuwa unafiki tu.
Mtani hapa umemaliza kila kitu. Yaani haiwezi badilika. Asilani abadani. Yaan anarudi maana amejua hapo ndo koloni lake lilipo anajua atakupelekesha kama kawa.

At first niliamini watu wote tunafanana. Niliamini wote tumelelewa katika upendo kwenye familia zetu.kumbe its quiet different. Watu hatuko sawa aisee. Watu wamepitia changamoto mbalimbali. Wengine wamekua harassed. Ni ngumu kuwa na upendo wa kweli.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] unakumbuka i told u mwanamke akikipenda atakua na huruma sana kwako? Yaan kukuomba vitu unnecessary hatofanya. Yaan ukitumia hela yako ovyo rohooo inaumaaa balaaa. Ukiona unaomba mahela sana shtuka[emoji23][emoji23] japp pia sometimes mfanyie mahitaji yake asikuombe.

Kuna watu wabinafsi hii dunia sijapata kuonaaa. Wachoyoooo. Wachoyo mno. Na hata kupata maendeleo katika family level ni ngumu sana sana sana. Mungu aniepushie na aina hiyo ya watu.
 
Watu wako so different yani. We can not expect the best kwa kila mtu, sababu ya malezi. Mkikutana mliolelewa vyedi basi mambo yatakuwa level.
 
Namwomba sana Mungu iwe hivyo. Familia ndo kila kitu na hasa upendo ukitamalaki. Naupokea upendo, Aminaaa
Kiuumbaji ndoa imara hutegemea sana akili na maarifa ya mke anavyom-handle mume.

Kwa kawaida sisi wanaume huwa tuko weak sana kwa mwanamke anayetuheshimu, kutupenda kwa dhati, mcha Mungu, kutunyenyekea, mtiifu na anayetujali. Ukiyafanya hayo kwa moyo wa dhati i.e ni lazima kuwa mvumilivu ndoa yako inakuwa imara sana.

Mke pafanye nyumbani pawe mahala pa mumeo kupakumbuka na kupenda kuwa hapo kila wakati awapo mbali yaweza kuwa kazini ama safari na hadhalika.

Kuna wanawake ni vichomi hadi kero. Yaani mume ikifika jioni badala ya kufikiria kurudi nyumbani anatamani siku ianze upya maana nyumbani akifika ni pa moto badala ya kuwa pahala pa kupumzika.

Huwa hatuna mbwembwe nyingi mbele ya mwanamke anayetujulia namna ya kuishi na sisi, na ni rahisi sana kututeka mioyo yetu
 
Yeah, you are right! Ubinafsi unaleta choyo, kuchukia ndugu wa mume, ushirikina na majanga kibao. I dont want that in my house.😂😂😂 Nachukua hatua mapema tu.
 
Watu wako so different yani. We can not expect the best kwa kila mtu, sababu ya malezi. Mkikutana mliolelewa vyedi basi mambo yatakuwa level.
Yes. Ndo mpaka sasa mkutane wenye hayo malezi ya hivyo. Or else mtaishia kuumizana tu
 
Yes. Ndo mpaka sasa mkutane wenye hayo malezi ya hivyo. Or else mtaishia kuumizana tu
But at times we need to keep on trying. Huwezi acha kupenda sababu uliwahi kuwa na selfish patner! Rekebisha concerns zilizokuwa zinaleta mitafaruku on your last relationship kisha songa mbele.
 
Mkuu.... umemaliza yotee. Sina hata la Kuongeza. Mwenyezi Mungu awajalie ndoa njema zenye furaha na Amani. Mkawe viongozi bora wa familia zenu. Wake zenu wasilie kwa kukosa upendo wenu. Mengine ni kuvumiliana na kuelewana tu
 
Yeah, you are right! Ubinafsi unaleta choyo, kuchukia ndugu wa mume, ushirikina na majanga kibao. I dont want that in my house.[emoji23][emoji23][emoji23] Nachukua hatua mapema tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naonaga ubinafsi ndo huleta yote mapema mkuu. Mapema sana. Na sometimes ndugu wa mume should behave well. Maana nao hiwa sometimes wanazingua kweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naonaga ubinafsi ndo huleta yote mapema mkuu. Mapema sana. Na sometimes ndugu wa mume should behave well. Maana nao hiwa sometimes wanazingua kweli.
Wanazinguaga ofcourse ila ni baadhi ya makabila. Sisi tuko watatu kila mtu na maisha yake sasa huo mda wa kuzinguliwa unatoka wapi? Halafu kingine huwa wanawake wanakuja na vitabia vyao vya kishenzi kama huo uchoyo and the like...ukija kwenye jamii yetu lazma utaonekana wa ajabu japo hamna mtu atakwambia.
 
But at times we need to keep on trying. Huwezi acha kupenda sababu uliwahi kuwa na selfish patner! Rekebisha concerns zilizokuwa zinaleta mitafaruku on your last relationship kisha songa mbele.
Ooh yes. And never change from good to bad kwasababu tuu ya past relationships. Watu wema bado wapo japokua ndo wachache. Unawezaje kuuzuia moyo kupenda aisee? Unaanzaje. Ngumu mnooo. Na wala sijutiagi kuhusu past relationships. Ndo zinatufanya tunakua imara zaidi.

Mitano tena jamani[emoji23][emoji23]
 
Ofcourse. Kila mtu na maisha aliyokulia. Mimi nadhan kilicho bora ni wanafamilia kila mtu kujikita na majukumu yake ili kuepuka mifarakano isiyo na ulazima. Ukiolewa usipende kuside na upande wowote kwenye familia ya watu endapo kuna maugomvi. Wewe kuwa amani yao. Walete pamoja. Yaan kwa lugha nyingine kiwa KOFFI ANAN wao[emoji23][emoji23]
 


Ndiyo maana mwanzoni kabisa katika maelezo yangu nimeeleza jambo hili:-

"Kila mtu katika tukio hilo anaweza kutafsiri kulingana na akili yake"

Wewe hukuona maneno hayo??.

Tafsiri nyingine ya tukio hilo ni hii hapa:-

Huyo madam wa kizungu alitaka kumuonyesha au kuonyesha umma au kumuonyesha Obama kwamba wanawake wa kiafrika hawafai kuoa hasa kwa kiongozi mkubwa kama Obama, huyo madam alitaka Umma uhoji kwamba iliwezejanaje kwa Michelle wakati ule kukaa mbali na Mumewe ???!!, huyo madamu akajifanya kuchukua nafasi ya Michelle kwa kuwa karibu na Obama, Michelle alivyoona hali hiyo akashtuka na kugundua kosa lake ndipo ikabidi aende ku take her part.

Ilmuradi ni tukio linalotoa tafsiri nyingi kulingana na akili ya mtazamaji.

*Note hayo maneno ya mwisho.
 
Mi nilishawah kumnyanyua dada mmoja nilikuta amekaa na bwanaangu nimkamuambie anyanyuke mi nikakaa
Wivu huu utatuuaa

Ndio ukute huyo mdada ni bosi wake, au wanajadili bonge la mradi ambao bwana wako anawasilisha na kuupigia debe akijaribu canvassing na tayari alikua amefaulu kumshawshi huyo dada ambaye ndiye afisa manunuzi.....hehehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…