Hivi Wanawake Mna Nini?!

Hivi Wanawake Mna Nini?!

Baada ya nusu saa unasepa bila kuaga siku nzima atatia adabu ya kuheshimu muda wako.
Mkuu nimewaacha sana baada ya kunigandisha, hawakomi! Leo nimekuwa mpole
 
  • Thanks
Reactions: BAK
pesa yangu alafu anichomeshe maindi...kwani papuchi anayo yeye peke yake?...kwanza siku hizi mwanamke hatakiwi kuringa wat she is offering inapatikana nirahisi. ondoka zako atakutafuta
Duh we acha tu...
 
Mie nasemaga jaman wanaum mkae mjue tu saikolojia zetu !nadhan hii hawez kubadilika kiviile !ipo hvyo jaman ! mie huwa nipo radhi uondke km ndo una haraka sana ! siye wanawake tunaweza kuvaa hata chupi mara 3!unavaa hii unatoa!unaona km haijakukaavyema ,au unahis imekubana sana haijabeba tackle fresh !kwenye bra sasa napo tabu tupu ! utataka bra inayokushika fresh na huku kila siku unavaa bra!yaan kwenye hereni sasa mie hapo navaliaga tu kwenye gar! unavaa heren unahis hazijapendezea kwenye nguo yako!
vurugu tupuu ! unafika kwenye gari umesahau saa yako na huku una simu utashuka ukimbie ufate saa yako !yaan MTUELEWE TU ! sijui why mnanuga namna hyo !

mie nikiwa na mtok iwe harus au sendoff najua nitaenda na hubBy naanza kujiandaa saa 7 mchana had ifike saa 1 nipo tayar !wenzetu hata mafuta hampaki lakini mnataka kufanana na sie!

MSHINDWE!
Aisee....inabidi niende kozi ya uvumilivu...
 
Bora ajirembe hivyo kuliko awahi kuja mwende ATM akung'ang'anie hivi
25014511_581133962218288_4041710177114652672_n.jpg

aiseee hatari
Hahahahaha lol! Kama kujiremba kote halafu anakuja hivi nasepa zangu wala hatanisikia tena. Weye Numbisa ni kiboko.
 
Hahahaha mujini pesa bana,kupendwa baadae
Huyu wa hivi naye sina muda naye. Mambo ya kunipenda kwa penzi la pesa huwa siyafagilii hata chembe. Nikigundua ni wa hivyo nakula kona ya nguvu.
 
Back
Top Bottom