Hivi Wanawake Mna Nini?!

Nimechomeshwa mahindi mimi hadi nimekua na roho mbaya maanake siku hizi wao ndo wananisubiri .
 
Haha,
Haya; asante kwa darasa!
 
una akili kama zangu mkuu... najitowaga ufahamu nafanya maamuzi magumu tu niumize kichwa kwani anayagold
pesa yangu alafu anichomeshe maindi...kwani papuchi anayo yeye peke yake?...kwanza siku hizi mwanamke hatakiwi kuringa wat she is offering inapatikana nirahisi. ondoka zako atakutafuta
Nilikua mwanachama mwenzenu kipindi icho... Ni usoro huo... Vijana wanoteswa na madem sana ni chini ya m25
 
Tuna matatizo sana
tuvumilieni , hasa tukijua mna interest nasisi weeeeeh
Hapa ndipo mnapotukesea, baada ya kujua mnapendwa.

Kama bado nakufukuzia nitavumilia, japo moyo unakuwa unauma mno.

Ila tukishawezeshana tu, kuna vitu vita ku-influence kuwahi au kuchelewa siku nyingine.

Ukichelewa, nitakueleza mara ya 1,
Ukirudia tena 2 na 3. Basi nitajua ni tabia yako.
Hapo nitajua la kufanya.
 
Yaani pacha unalalamika saa moja tu?? Usiniaibishe bwana
 
Kaka kuna papuchi za kichina zinauzwa bei rahisi tuu, wala haina kugandishwa hiyo. Ni kujipimia tuu.
 
Kwani kama ni mafuta huwa mnapaka utumbo mwembamba na figo?
Halafu tabia ya kuvaa high hills halafu ukifika harusini unaanza kunituma nikakuletee flat shoes kwenye gari muache...

Au unabeba kapochi then ukifika harusini unakazi ya kuzurura tu...mara mziki, mara salam mara kutunza mara .... Unaniambia nishikie hii, kwanini usiache nyumbani kama sio sehemu ya vazi lako? Unanibebesha mimi nilikutuma?

Hah....nimekumbuka mbali, haya huwa yapo kichwani tu, ila kuyasema hayasemwi.
 
Aisee pole sana, utazoea tu, jaribu kuwa na Ipad yenye bundle utazame hata filamu wakati unasubiri, huwezi elewa wala kuirekebisha hiyo...Na sasa ukibahatika kupata watoto wa kike 2 au 3 halafu wawe teenagers ndio maumivu zaidi...
Ila kwa mama itapunguwa kidogo, siku ameingia ndani na kashusha mashine...Maana atakuwa anajiamini kidogo..
 
mm sijawahigi kuchelewa
 



hahahahaha jaman umenichekesha sana ! dah kuwa mwanamke kuna raha jaman !sie mkila kitu tunaonaga sawa tu !shida ipo kwenu
 
Sijawahi kuzoea na sijui kama nitazoea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…