Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yani.Mwanaume anae oa kwa hii genaration anajitoa muhanga.. na wanawake wanapenda kuolewa na wanaume mazoba sikuhizi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni hatari..
Siku moja nipo site napiga mishe sasa nilikuwa kweny ICD fulani nakagua container bahati mbaya simu yangu kali Samsung S9 plus ilidondoka jamaa wa forklift hajaiona akakanyanga ila aliniomba excuse sana mpaka nikaona poa kwa kweli haifai kabisa nikatoa line kibaha kariakoo nikachukua kiswadu cha bontel elfu 20 fasta niwasiliane na mteja
Ghafla message inaingia naomba uniagaiwe pesa ya Kama 50k matumizi hakusema nikamwambia jamani hata salamu tujuliane hali kwanza "aah sorry ' vip anajibebisha nikamwambia yote kuhusu simu 'ndo maana meseji WhatsApp hujibu" nikamwambia ndio akasema "sawa"
Balaa anasema sasa pesa utanitumia saa ngapi au niifuate ***** zake kwa kweli hata pole
Simu kali S9 + [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio mwaka huu 2019 uliza uambiweSimu kali S9 + [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anafanya maboresho kwao nayeye anamalengo yake haja yatimiza alipata kazi ili kutimiza malengo aliyojiwekea sasa chamuimu vijana kabla ya kuingia kwenye ndoa inabidi tuwaulize wanawake je wameshamaliza malengo yao binafsiAnalipwa mshahara mkuu tena wa milioni unamtetea hana hela?
Wanawake sie ni wabinafsi sana... Kupata mwanamke mwenye utu na utulivu ni Kazi sanaKuna jamaa yangu ni mtumishi na mkewe pia ni mtumishi. Jamaa analipwa 900k na mkewe analipwa 1.3m ila sasa kodi ya nyumba, bili za umeme na maji analipa mwanaume, na bado ujenzi wa nyumba ni mwanaume apambane, ada ya shule ni mwanaume.
Hivi majuzi imebidi mwanaume amlipie vikoba mwanamke maana alikuwa anadaiwa na watu washatimba home kubeba vyao. Chanzo cha ugomvi kikaanza baada ya jamaa kumnyima mwanamke hela ya saloon kwa kuhoji wewe hela zako unapelekaga wapi?
Navyozungumza kesi ipo dawatini na ndoa ina ning'inia. Wanawake mmezidi badilikeni jueni saivi maisha ni 50/50 sio kuwa mzigo kama panya nyumbani huna faida kazi kuharibu tuu!
Numbi, wewe si ni mwanamke, kweli unawaponda wanawake wenzio kiasi hicho?Wengi wanamalizia kuchangia vitu vya ajabu ajabu kama birthdays na hapo bado zawadi,kununua nguo bei kubwa, showoffs za kijinga,vijisherehe visivyoeleweka