Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wewe hujui ulichokiandika ndio sembuse mimi?Sasa hii inahusiana nini na nilichoandika mimi?
Wakti ujao kwanini usisome kwa kutulia ukajibu hasa kile kimeandikwa?
Umeingiza uislamu unasema hivi na mimi nimekupa elimu uislamu unasema hivi pia na siyo one side of coin.
Kwanza usinipotezee muda wangu feminist, mnacomment vitu bila kushirikisha ubongo.