Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Huyo mwanamke anakosea sana.....binafsi mume wangu nitashirikiana nae siwezi kumfanyia ubinafsi.....mtu kaniheshimisha kanioa alafu nimletee ubinafsi....sio poa
 
Sio kweli mkuu. Nawaambiaga wanaume kuwa Wanawake wanatumia pesa zao kwa wanaume vizuri tuu hakikisheni mnapendwa vizuri kabla hamjalalamika wanawake wanapenda kupokea tuu.
Sisi hatutoi pesa ila tunatoa treatment za pesa mf. zawadi, lunch, shopping (sio Socks na vest tu).
Kwakweli mko vizuri unampelekea mtu zawadi ya boxer, vest na socks ambazo gharama yake haizidi 20,000/= kisha unamkwanyuwa laki mbili.

Mungu awabariki sana.
 
Sio kweli, hakuna mwanamke anaweza toa pesa yake. Mwanamke tena hasana nyie kina Chausiku wa kusini mwa jangwa la Sahara kiasili ni takers sio providers, hata akiamua kutoa anajilazimisha sanaaa, raha ya mwanamke ni kuchukua na kuchukua na kuchukua

kisha kuja tena na kuchukua na kuchukua kisha kulalamika hajapewa vya kutosha kisha kuchukua na kuchukua
ukifosi mahusiano na mwanamke asiyekupenda haya ndio matokeo yake

Kuwa na mwanamke anayekupenda pia afu uje utuambie
 
Alikubali kuolewa Ili atimize Sheria ya bwana. Ila pia mume ana pesa chafu so mdada akakubali ndoa chaap Ili akazifaidi vizuri



Zinaweza zikamotokea puani!

Mambo ya kukimbilia pesa na mali wala sio sometimes !
 
Halafu utakuta wanaolalamikia wanawake humu akiambiwa amtowe kafara mke wake apate utajiri hataki.

Hakika nawaambieni hakuna mwanamke anakwenda kwa waganga kwa ajili apate utajiri, na wakianza kupata akili hiyo nyumba zote zitabaki na wajane, mwanamke akipewa condition ya kukutowa kafara hajiulizi mara mbili umekwisha, mshukuru tu wanawake hawaangaiki kupata utajiri wanawasubili nyinyi mtafute hela ili wawafirisi.
 

Attachments

  • FB_IMG_1655616518944.jpg
    FB_IMG_1655616518944.jpg
    11.2 KB · Views: 8
Halafu utakuta wanaolalamikia wanawake humu akiambiwa amtowe kafara mke wake apate utajiri hataki.

Hakika nawaambieni hakuna mwanamke anakwenda kwa waganga kwa ajili apate utajiri, na wakianza kupata akili hiyo nyumba zote zitabaki na wajane, mwanamke akipewa condition ya kukutowa kafara hajiulizi mara mbili umekwisha, mshukuru tu wanawake hawaangaiki kupata utajiri wanawasubili nyinyi mtafute hela ili wawafirisi.
Hehe
 
Kama hujui dini inasema nini usiingize dini kwenye mjadala.

Mwanamke anayefuata mafundisho ya uislamu mume wake ataishi kama yupo peponi.
Ni dhahiri hukusoma bandiko langu na pengine hukuelewa kusudi langu, tafadhali rejea tena, this time kwa utulivu huku hisia za udini ukiwa umeweka kando.

Halafu badala ya kuuliza swali ambalo wewe mwenyewe huwezi jibu njoo na maelezo ya Uislamu uusemao kuhusu wajibu wa mwanamke kwa mwanaume uone kama utakuwa na tofauti na maelezo yangu linapokuja suala la mali ya Mwanamke.
 
Ni dhahiri hukusoma bandiko langu na pengine hukuelewa kusudi langu, tafadhali rejea tena, this time kwa utulivu huku hisia za udini ukiwa umeweka kando.

Halafu badala ya kuuliza swali ambalo wewe mwenyewe huwezi jibu njoo na maelezo ya Uislamu uusemao kuhusu wajibu wa mwanamke kwa mwanaume uone kama utakuwa na tofauti na maelezo yangu linapokuja suala la mali ya Mwanamke.
Mwanamke wa kiislamu anayejuwa dini na kushika mafundisho ya uislamu, hawezi kumuachia mtu mwingine akupikie mume wake wala kukufulia, maana kuna swawabu kubwa kwa mke kufanya hayo.

Mwanamke wa kiislamu aliyeshika dini hawezi kumnyima mume wake tendo la ndoa.

Mwanamke wa kiislamu aliyeshika dini hata kutoka tu ndani ya nyumba anapaswq kuomba ruksa kwa mume wake.

Mwanamke kiislamu mwenye kushika dini hata kwenda kwao kusalimia au kwa ndugu ni lazima kibali kitoke kwa mume, yapo mengi nimekupa machache uone hiyo 50 kwa 50 yenu inavyowapeleka jehenamu kuanzia duniani hadi Jehenamu kwenyewe.
 
Mwanamke wa kiislamu anayejuwa dini na kushika mafundisho ya uislamu, hawezi kumuachia mtu mwingine akupikie mume wake wala kukufulia, maana kuna swawabu kubwa kwa mke kufanya hayo.

Mwanamke wa kiislamu aliyeshika dini hawezi kumnyima mume wake tendo la ndoa.

Mwanamke wa kiislamu aliyeshika dini hata kutoka tu ndani ya nyumba anapaswq kuomba ruksa kwa mume wake.

Mwanamke kiislamu mwenye kushika dini hata kwenda kwao kusalimia au kwa ndugu ni lazima kibali kitoke kwa mume, yapo mengi nimekupa machache uone hiyo 50 kwa 50 yenu inavyowapeleka jehenamu kuanzia duniani hadi Jehenamu kwenyewe.
Sasa hii inahusiana nini na nilichoandika mimi?
Wakti ujao kwanini usisome kwa kutulia ukajibu hasa kile kimeandikwa?
 
Back
Top Bottom