Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.

Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Lakini kwa nn usimwambie yeye mwenyewe! ajue kabisa anachofanya sio kizuri sijui kama yuko humu JF...vaa bomu Mfuate mkalishe chini mwambie A to Z ulikopata taarifa usifiche mwambie aache na umuombe sana MUNGU kusema huku hajutasaidia kitu...
By the way matako anachukuaje? Niambie basssi
 
Lakini kwa nn usimwambie yeye mwenyewe! ajue kabisa anachofanya sio kizuri sijui kama yuko humu JF...vaa bomu Mfuate mkalishe chini mwambie A to Z ulikopata taarifa usifiche mwambie aache na umuombe sana MUNGU kusema huku hajutasaidia kitu...
By the way matako anachukuaje? Niambie basssi
Sinimekuambia anachukua kiuno kichawi au khanga yako au nyuzi za nguo nimemwambia akazidi sana
 
QUOTE="mshamba_hachekwi, post: 49191828, member: 701299"]
wameru wa huko ndani ndani ngarenanyuki wanaamini sana kwenye ushirikina mkuu

mleta mada ndo kabila lake
[/QUOTE] he
 
Lamomy Missy Gf hivi dada yenu nimewakosea Nini Hadi hamniiti nije kusikia vile watu wanakojolea ubwabwa?? kumbe watu wanachukua nyayo na matako wanapeleka Kwa mabwana wa kazi na hamsemi!🤔🤔🤔 itabidi hili suala baba mtumishi Tlaatlaah na mama mtumishi Tayana-wog waingie mlima wa maombi....Mimi nitawapikia futari ya kula jioni wakifungua
🤣🤣🤣🤣🤣
Hali ni Tete shoooo
Mtumishi maombi ya mnyororo mhimu
 
Tena haya nimadogo majuzi kati walichonifanyia nikakaa chini uchi . Yaani kuharibu waliharibu fulu nimaibilisi.
Kina huyu dada anachukia nikipata mtu na anachukia nikiwa na afya njema
Fanya kuhama hilo eneo badili upepo! Ukiwa tayari nijulishe usogee sehemu isio na pilika pilika za kiswahili.
 
Wengi wa wanawake ni washirikina sana..... Wanasali na ushirikina wanafanya. Nimekuja kugundua hili ukubwani.
Ni kweli huku wanaenda safina ;na kanisani ijumapili nà morning glory asubuhi na ijioni ,mikesha ndio wao wengine ni wachungaji , wengine parushuweka ,wengine ni wazee wausharika sasa. Kisa cha kwanza, ni hiki nimeteseka na kitu fulani mie kuja kujua saizi na 30+ ni wachungaji waliokuwa wanakuja kwetu .

Yaani sijawahi ona eti mtu mpaka ananifuata ananiuliza nimeponaje . Kaniwekea hadi nyoka wakichawi ,akitoa magamba acha tu nisimalizie Haya mwingine amefunga hadi nisiolewe jamani yote tisa kumi nini?? .

Jingine kazi ,maendeleo kwa ujumla kafunga yote . Kweli .ni mehangaika sana. Acha tu .
 
Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.

Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Madhara ya kukacha shule haya na kufuata maandiko ya dini zisizo na maana maishani mwetu. Usikute ushirikina wotu huu wanaufanya wakishirikiana na sheikh ambaye naye alishindwa maisha kutokana na kukariri vitabu tu ila kichwani hana akili ya kupambana kimaisha. I hate hizi dini za kimkakati. Wengi wakishindwa maisha wanajiingiza kwenye ushirikiana wakitumia Qur'an.
 
Back
Top Bottom