Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Yan mtu aache kuopoa pisi kisa ayo maujinga ambayo hayapo? Mbona mimi silogwi na sijawahi kulogwa na kima yoyote?
Ni wewe hujawahi so huwezi elewa wanachopitia waliprogwa km huyu anasema hapa ye kajionea live....
Ila watu wamerogwa na wanarogwa sn tu
 
Ni wewe hujawahi so huwezi elewa wanachopitia waliprogwa km huyu anasema hapa ye kajionea live....
Ila watu wamerogwa na wanarogwa sn tu
Ony in Africa na jamii ambayo haijastarabika.
 
Hao hao ndio balaah wanaonifanyia hivyoo wanadegree zao ,wapo maofisini ni warembo na familia zao wameolewa kuzuri wale wakijijini na uswahilini sio kivile ni mdomo na ushirikina wao sio wa 10G
Aisee, dada mkubwa nifundishe hapa Aaliyyah .😳😳😳
 
Back
Top Bottom