Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ndo km hivi naweka elim ndogondogo🤣Mkuu funguka basi tupate Elimu sisi waoaji wa baadae [emoji56]
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo km hivi naweka elim ndogondogo🤣Mkuu funguka basi tupate Elimu sisi waoaji wa baadae [emoji56]
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mna uhakika da Mau yuko sawa?!
🤣🤣🤣🤣 Utajua hujuiSasa rafiki yangu mwanamke kama huyu ntaweza kuishi nae? 😂😂😂Biriyani atamix na mkojo kidogo
Sijui hebu Sema weeweMna uhakika da Mau yuko sawa?!
🤣🤣🤣🤣 Awahi Dodoma haraka iwezekanavyoSijui hebu Sema weewe
Aanzie Muhimbili maana Dom mbali🤣🤣🤣🤣 Awahi Dodoma haraka iwezekanavyo
Pole sana, pitia uzi wangu mpya kabisa, utajifunda kuroga mwanamme kwa mahaba tu, bila kwenda kwa wachawi:Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Wee unarogeka sasa🤠!Naomba uniroge tafadhali... 😁😁😅😅
Acha basi niendelee kua kimya hivi hivi...Wee unarogeka sasa🤠!
Sikurogii wala nenee napenda ukiwa na akili zako timamuu hizohizo make weee akili zako unazijua mwenyewe 😁
Wee sema kweli ?? 🤭Ulishaniroga zamani sana ndiyo maana...
Itakua umeninywesha mkojo...
Mambo yangu niachiwe mwenyewe...Wee sema kweli ?? 🤭
Lols mkojo 😛😁
Kabeeesa kukaaa kimya ni busara zaidi!Acha basi niendelee kua kimya hivi hivi...
HakiiiiiiikaMambo yangu niachiwe mwenyewe...
Halafu hpa uniambie hajatafunwaUnique Flowers akiwa kwenye harakati kumfanya Mzabzab kuwa zezeta la mahaba....[emoji2960]View attachment 2884282View attachment 2884284
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Unakua kama 'lisemaji' tu, unachange kama nguo kila siku rangi tofauti🏅Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.