Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Hivi wanawake shida ni nini lakini?

You know kwako sijiwezi uwii naanzaje kwa mfano! Uliponirogea hakii huendi mbinguni smart

Sasa ukute mwanamke Arusha anakuroga Tanga anakuroga Dar anakuroga Mbeya anakuroga uwiii mwanaume Si utachizi sasa???!!

Hapo mwenye kufunikwa na damu ya Yesu tu ndio atakuwin mwanaume!

Urozi ni hatari sana asee
Funguka tafadhari boss lady
 
Duh! Kwa hii kauli yako Nimeogopa mno! Kama unavyoelezea, ndivyo ilivyokuwa. Yule jamaa yetu alipata kazi nzuri huko mikoani ndanindani kwenye mashirika ya kizungu, alikuwa analipwa kwa dollar za kutosha. Ila mkataba ya wazungu huwa ni mifupi miezi 6 mpaka mwaka. Baada ya hapo labda wakuongezee. Kipindi hicho kifedha alikuwa vizuri, ila kutokana na ufupi wa mikataba ya kizungu hakuwa tayari kwa familia. Nahisi ndio maana aliichukua hiyo pisi na wakakubaliana toka mwanzo ni kikulana tu, walipima magonjwa yote na binti akawekewa kijiti cha uzazi wa mpango, ili kuepuka mimba. Jamaa alikuwa anajiienjoia kwa raha zake zote lile tako kubwa pamoja na mahipsi yaliyojaa vizuri 🤣 🤣🤣 bila wasiwasi. Jamaa alinogewa akawa sponsor rasmi mpaka wadau wote tulijua.


NB: Aisee leo umeitoa siri nzito ambayo nilikuwa siijui. Maana kwenye circle yangu mdau mmoja ndio hivyo alirogwa na pisi, na mdau mwingine alikuwa na mapenzi ya aina hiyo na binti alikubali ila binti inaonekana alimgeuka (wadau tunahisi alichomoa dawa ya uzazi wa mpango)na alimtegeshea mimba na akazaa mtoto kisha akawa anamtumia mtoto kama mbinu ya kufosi ndoa. Inaonekana una hoja, na unajua siri nzito ambazo watu hatujui.

Duh! Nimeogopa! Nimeogopa mno! Maana kipindi fulani zamani huko pesa ilinitembeleaga bado kidogo sana ningeingia kwenye staili hiyo ya kukulana tu 🤣🤣. Niliahirisha baada ya jamaa yetu kuanza kuumwa sana, na chanzo kikawa kurogwa na pisi.


Ila Sasa kama binti hataki mapenzi ya kuliwa tu si akatae tu. Kila mtu achukue 50 zake mapeeemaaaaa?
🤣🤣🤣
We mdada Gani atakataa sehemu inaeleweka
Hakuna bana
Mwanzo atajifanya kukubali ila lzm apambane

Ndo umejua ss kuwa makini!
 
Kila mwanamke na makuzi yake. Huwezi kuutoa uswahili kwa mwanamke mswahili hata ukimuhamishia Masaki.
Aisee nilivyokua chuo niliona mengi yaliyonishangaza
Wale wa makuzi unayosema wengi walifundishwa mambo ya kishenzi na hao wa uswazi

Nilikuwa nashangaa wadada wadogo kwenda Kwa waganga ,najiuliza wamejifunza wapi,lini?
Wakati sie wengine ht kuvas suruali Kwa kujiachia tumeanza tukiwa chuo!

Mzazi anakupiga km hajakuzaa vile 🤣
 
Back
Top Bottom