Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #201
Hujielewi ila sio kazi yangu ni kazi ya mke wako au mama ako huelewekiUnakua kama 'lisemaji' tu, unachange kama nguo kila siku rangi tofautiš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujielewi ila sio kazi yangu ni kazi ya mke wako au mama ako huelewekiUnakua kama 'lisemaji' tu, unachange kama nguo kila siku rangi tofautiš
MshindweHalafu hpa uniambie hajatafunwa
Km mnajileta machinjoni kirahisi km hivi tutashindwaje kuwatafunaMshindwe
Mnadhani ni rahisi sana kuvua hii kiupiKm mnajileta machinjoni kirahisi km hivi tutashindwaje kuwatafuna
Hivi unajua kuwa chupi inaongoza kuvuliwa kwa wingi kuzidi hata samaki wanaovuliwa ziwani..Mnadhani ni rahisi sana kuvua hii kiupi
Sasa si hao usifananishe walioamua nawasio amuaHivi unajua kuwa chupi inaongoza kuvuliwa kwa wingi kuzidi hata samaki wanaovuliwa ziwani..
Ila Leo umekua kunikosha sanaSawa sikulazimishi mie niko full package dear siitaji kuchukua!nuksi za mtu ningekuwa nakosa pesa ningekuwa billionea
Labda wageni na mambwataa, [emoji23][emoji23][emoji23]eHakuna mambo ya zamani na ya sasa, mambo yanafanywa yanachokwa, yanafanywa mengine yanachokwa pia, then linarudiwa kufanywa lilelile la mwanzo.
Hilo la kuweka damu ya period kweny chakula ili mungu akupende limefanywa kwa miaka mingi sana na bado wanawake wanafanya.
Kwa mujibu wa muanzisha mada na wachangiaji(wanawake) yanafanya kazi ila usijaribu kwa Smart utampoteza na kuingia kwenye migogoro na ndugu zake.Najiuliza tu hivi kweli hayo makitu yanafanya kazi??? Mfano nikimroga Smart911 kupitia hizo vitu kweli atakua zuzu juu yangu??????
Santo sana kwa mwongozo! Huyu nikimpoteza Awamu hii namie napotea mazima humu hata ye anajua hili!Kwa mujibu wa muanzisha mada na wachangiaji(wanawake) yanafanya kazi ila usijaribu kwa Smart utampoteza na kuingia kwenye migogoro na ndugu zake.
Natafakari boss lady Iryn/Mahondaw akaroge ili iweje usije jaribu tukampoteza Mr SmartSanto sana kwa mwongozo! Huyu nikimpoteza Awamu hii namie napotea mazima humu hata ye anajua hili!
Nitaiweka Wapi sura yangu uwiiii
cc Smart911
Magonjwa ya akili ni tatizo Kwa taifa letu šWatu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Cc Chizi MaarifaWatu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Daaah..... Ndugu zake nawalaumu sana. Hawamsimamii kunywa dawa.
kwa jinsi trend inaenda,2090 wanaume watakuwa wanatunzwa kweye ma~zoo ili wasije toweka kabisaMbna badoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mhola gete ongw'ise!!bhalenizonja gete abhakema bha shigo eji nguno bhabhile mabholagi geteGinehe nkingwa
Aiseeš³Unique Flowers akiwa kwenye harakati kumfanya Mzabzab kuwa zezeta la mahaba....[emoji2960]View attachment 2884282View attachment 2884284
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Yan mtu aache kuopoa pisi kisa ayo maujinga ambayo hayapo? Mbona mimi silogwi na sijawahi kulogwa na kima yoyote?Wengi tu mbona
Ila SI mnataka pisi
Endeleeni
Na ibada hamtaki.walokole mnawananga, [emoji1787]
Achana na wanaojifanya walokole wapo na utawajua tu
Mnawajuaje master?[emoji16][emoji16]Nimekumis sana, toto lenye shepu yake ya kuvunja chaga