Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Duh! Inashangaza na kusikitisha 😂wameru wa huko ndani ndani ngarenanyuki wanaamini sana kwenye ushirikina mkuu
mleta mada ndo kabila lake
Ngarenanyuki si kule Arusha NP ndani ndani huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Inashangaza na kusikitisha 😂wameru wa huko ndani ndani ngarenanyuki wanaamini sana kwenye ushirikina mkuu
mleta mada ndo kabila lake
unapanda arusha national park kule juu yake😂Ngarenanyuki si kule Arusha NP ndani ndani huko?
Kheee!! Najuaga tu wana ukorofi, kumbe na ulozi? Kazi wanayo…unapanda arusha national park kule juu yake😂
chimbuko la wameru ndo huko sasa
mtu wa kule ukienda umevaa minyonyo vimini, unakula 70 mtoni
mgeni unaachwa, dawa nyingi za mitishamba arusha watu wanapandaga kule kuchukuaKheee!! Najuaga tu wana ukorofi, kumbe na ulozi? Kazi wanayo…
😂😂😂😂mgeni je akienda?
Kumbe? Na sio wamasai tena?mgeni unaachwa, dawa nyingi za mitishamba arusha watu wanapandaga kule kuchukua
Nimeona watu wengi wanaenda kuchukua hadi wamaasaiKumbe? Na sio wamasai tena?
TB Joshua aliye changamka.@Tlaatlaah
Kachangamka kama katiwa ndimu.🤣TB Joshua aliye changamka.
🤣🤣🤣🤣 hatareeeLamomy Missy Gf hivi dada yenu nimewakosea Nini Hadi hamniiti nije kusikia vile watu wanakojolea ubwabwa?? kumbe watu wanachukua nyayo na matako wanapeleka Kwa mabwana wa kazi na hamsemi!🤔🤔🤔 itabidi hili suala baba mtumishi Tlaatlaah na mama mtumishi Tayana-wog waingie mlima wa maombi....Mimi nitawapikia futari ya kula jioni wakifungua
zingatia na watu wenyewe lakini wa kupanda milimani mahali pa juu palipoinuka 🐒Hili inabidi tupande mlimani kabisa maaana kwa nguvu za nyama hatutoboi
😂😂😂😂zingatia na watu wenyewe lakini wa kupanda milimani mahali pa juu palipoinuka 🐒
hata na hivyo sirini patulivu palipojificha, tunaweza pia angusha maombi na maombezi ya nguvu sana aise..
kuangusha hii kasumba ya machupi na mikojoleo kwa chakula ndani ya uchumba na ndoa
Huwa nawaambia watu,kwa harakati za wanawake( ulozi) huenda peponi tukaingia wanaume watupu hahahaWatu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Shida sio mtaa shida watu wengi nisiku hizi ni viatu
Wait!!!..hayo mattercore anachukuaje surely?Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.