Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mie hao wazuri wa hivyo ndio sihangaikagi naoSana tena wale wazuri wazuri wale ambao unaona umepati kifaa huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie hao wazuri wa hivyo ndio sihangaikagi naoSana tena wale wazuri wazuri wale ambao unaona umepati kifaa huyu
Mwanamke aliyeelimika hawezi kuwa superstitious
Wacha tu niendelee kubaki njia kuu...Ach
Acha tu hata blidi zao mnazila hamjui tu
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Anachukua nyayo sura hata matako anaenda kupatia mabwana na kazi
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dark stuff brooHahahahah kuna moja nilisikiaga kwamba wanaweka kakipande ka nyama kwenye nyuchi zao,kanalala humo,kesho yake unaandaliwa msosi kanawekwa. Eti ukikala,unampenda hadi unapitiliza vituo,af unakuwa kama mjinga mjinga hivi. Najiulizaga connection ya hayo mambo na uhalisia nashindwa kupata jibu.
Tena haya nimadogo majuzi kati walichonifanyia nikakaa chini uchi . Yaani kuharibu waliharibu fulu nimaibilisi.
Kina huyu dada anachukia nikipata mtu na anachukia nikiwa na afya njema
Hamia uzunguni hao mashosti zako wasikuchoshe tena.Arusha nyumba ipo powa kwanini??
Inasikitisha sana...
You know kwako sijiwezi uwii naanzaje kwa mfano! Uliponirogea hakii huendi mbinguni smartInasikitisha sana...
Niroge basi nione inakuaje kurogwa...
Hongera sanaNashukuru Mungu huwa sina bahati ya kutembea na wanawake wa kiswahili. I only bang with well raised women.
Inasikitisha sana...
Niroge basi nione inakuaje kurogwa...
Au sioHuku mvua inatutesa sana, sogea karibu tule mahindi ya kuchoma
Yaanihuyu inaonekana akiona mambo yake hayaendi anakimbilia kwa waganga ..wanmchota hela wee na akili yake ..alwys hayuko sawa ..naamini anaenda sana kuroga na kuangalia nan anamchawia🤣🙌
Mmbo kama haya ya uchawi Yana mapito magumu lkn yakiishiwa nguvu mzee ataomba ardhi ipasuke aingie ndani maana utamchukia kupitiriza utatamani umchane mabisu tuAnahangaikia mapenzi mkuu, anafanya hivo ili umpende, ni ushirikina tuu hauhitaji maelezo mengi.
Ni kama ile waswahili wanayosemaga "Limbwata"
Kwa issue ya Kuzaa matunda sijui kama inazaa matunda au la.
Wasasa ukoje fungukaWatu wameshavuka huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni zamani na imepitwa na wakati
Sasa nawewe unahela gani hata nikiamua kuwa nawewe . Vocha huna tungi tu za kugongea kwa washkaji mtu akikosea akugonge na gari au toyo wazazi hawatakuwa wamepata hasaraKwahyo hata uliponipata mimi alichukia..?[emoji23]
Hello , hawajali,nawanarenewMmbo kama haya ya uchawi Yana mapito magumu lkn yakiishiwa nguvu mzee ataomba ardhi ipasuke aingie ndani maana utamchukia kupitiriza utatamani umchane mabisu tu