Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #261
Hapo anachukua kiuno kichawi akichukua kwa mujibu ya kipimo ,halafu the more days goes the more you mattecore gone . Ynabaki flattyWait!!!..hayo mattercore anachukuaje surely?
Lakini kwa nn usimwambie yeye mwenyewe! ajue kabisa anachofanya sio kizuri sijui kama yuko humu JF...vaa bomu Mfuate mkalishe chini mwambie A to Z ulikopata taarifa usifiche mwambie aache na umuombe sana MUNGU kusema huku hajutasaidia kitu...Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Sinimekuambia anachukua kiuno kichawi au khanga yako au nyuzi za nguo nimemwambia akazidi sanaLakini kwa nn usimwambie yeye mwenyewe! ajue kabisa anachofanya sio kizuri sijui kama yuko humu JF...vaa bomu Mfuate mkalishe chini mwambie A to Z ulikopata taarifa usifiche mwambie aache na umuombe sana MUNGU kusema huku hajutasaidia kitu...
By the way matako anachukuaje? Niambie basssi
🤣🤣🤣🤣🤣Lamomy Missy Gf hivi dada yenu nimewakosea Nini Hadi hamniiti nije kusikia vile watu wanakojolea ubwabwa?? kumbe watu wanachukua nyayo na matako wanapeleka Kwa mabwana wa kazi na hamsemi!🤔🤔🤔 itabidi hili suala baba mtumishi Tlaatlaah na mama mtumishi Tayana-wog waingie mlima wa maombi....Mimi nitawapikia futari ya kula jioni wakifungua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kwelikwa jinsi trend inaenda,2090 wanaume watakuwa wanatunzwa kweye ma~zoo ili wasije toweka kabisa
Fanya kuhama hilo eneo badili upepo! Ukiwa tayari nijulishe usogee sehemu isio na pilika pilika za kiswahili.Tena haya nimadogo majuzi kati walichonifanyia nikakaa chini uchi . Yaani kuharibu waliharibu fulu nimaibilisi.
Kina huyu dada anachukia nikipata mtu na anachukia nikiwa na afya njema
SawaFanya kuhama hilo eneo badili upepo! Ukiwa tayari nijulishe usogee sehemu isio na pilika pilika za kiswahili.
Wengi wa wanawake ni washirikina sana..... Wanasali na ushirikina wanafanya. Nimekuja kugundua hili ukubwani.Kama ni hivyo basi wadada wachawi na washirikina sana
Hata mm sijaelewa mdogowangu
KisaNIMELIA SANA MIMI
Ni kweli huku wanaenda safina ;na kanisani ijumapili nà morning glory asubuhi na ijioni ,mikesha ndio wao wengine ni wachungaji , wengine parushuweka ,wengine ni wazee wausharika sasa. Kisa cha kwanza, ni hiki nimeteseka na kitu fulani mie kuja kujua saizi na 30+ ni wachungaji waliokuwa wanakuja kwetu .Wengi wa wanawake ni washirikina sana..... Wanasali na ushirikina wanafanya. Nimekuja kugundua hili ukubwani.
Ni shangazi yakeKwani unahisi shetani asingeweza kumfata adam pale eden,kwanini aliamua kumfata hawa?
Madhara ya kukacha shule haya na kufuata maandiko ya dini zisizo na maana maishani mwetu. Usikute ushirikina wotu huu wanaufanya wakishirikiana na sheikh ambaye naye alishindwa maisha kutokana na kukariri vitabu tu ila kichwani hana akili ya kupambana kimaisha. I hate hizi dini za kimkakati. Wengi wakishindwa maisha wanajiingiza kwenye ushirikiana wakitumia Qur'an.Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.