Wewe ndio mpumbavu nambari moja kwa sababu ni mwanamke uliyekubali kuolewa pasipokujua nini maana ya ndoa.
It is very clear from the bible kuwa anayeolewa ni mwanamke na sio mwanaume -hakuna kitu kinaitwa kuoana - bali mwanamke ndiye anayeolewa .
Kwa tafsiri nyingine ni kuwa MWANAMKE akikubali kuolewa maana yake amekubali kulala bila kuvaaa PICHU na ndio humpa fursa mume ya kumuingilia. Kubali hilo.
Shida iliopo ni kuwa kabla hamjaolewa mnajifanya watakatifu kwa kuficha makucha yenu, na mnasugua magoti makanisani kuomba muolewe lakini mkishaolewa na kuwekwa ndani mnaanza kuleta ujuaji.. eti mke anachoka na kazi kwani kabla ya kuolewa hukujua kama utakuwa na kazi ? Hukujua wajibu wa mke utakuwa ni Nini? Au we ulitaka tu show off uonekane umetoa mkosi/nuksi?
Kwani mume wako ameoa mwanamke au ameoa kazi yako?
Nyie wanawake mbona hamjielewi? Wanawake kama nyie ndio mnaoogoza kwenda kwa mwamposa na kuombewa na manabiii feki kwa ujinga wenu.
Mkiachwa mnaanza ohoooo mwanaume wangu siku hizi sijui nini mara nini.
UKIKUBALI KUOLEWA FUATA MASHARITI YA NDOA IKIWEPO KULALA BILA PICHU NA MENGINEYO IKIWEPO KUPIKA, USAFI, N.K