Hivi Wanyakyusa na Wasukuma nani kawaambie Lugha zenu ni Dili?

Hivi Wanyakyusa na Wasukuma nani kawaambie Lugha zenu ni Dili?

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Rais Samia yupo Mkoa wa Mbeya kikazi kwa siku nne leo ni siku ya tatu. Yupo Rais pale na ujumbe wake. Pili tukio liko LIVE watanzania wote wanaliangalia na kufuatilia. Hasa wabunge ni washamba zaidi ni Spika tu ndiye mwelewa.

Kwanini wanaongea kilugha wanapandikiza kitu gani? Kwamba lugha yao ni ya maana sana au wanapandikiza ukabila. Haya makabila ni mashamba sana na wanajidai wamesoma, wanaboa sana mpaka nimeacha kuwafuatilia nasubiri Rais asimame ndiyo nitarudi kumfuatilia.

Wanajua Rais haelewi kinyakyusa, mbona makabuila mengine hayako hivi? Mjitathmini mnaboa!
 
Na wewe tumia tu lugha ya kwenu acheni mawazo ya kitumwa
 
Rais Samia yupo Mkoa wa Mbeya kikazi kwa siku nne leo ni siku ya tatu. Sijawahi kuwaza kama wanyakyusa ni washamba na wapuuzi kiasi hiki. Yupo Rais pale na ujumbe wake. Pili tukio liko LIVE watanzania wote wanaliangalia na kufuatilia. Hasa wabunge ni washamba zaidi ni Spika tu ndiye mwelewa. Kwanini wanaongea kilugha wanapandikiza kitu gani? Kwamba lugha yao ni ya maana sana au wanapandikiza ukabila. Haya makabila ni mashamba sana na wanajidai wamesoma, wanaboa sana mpaka nimeacha kuwafuatilia nasubiri Rais asimame ndiyo nitarudi kumfuatilia. Wanajua Rais haelewi kinyakyusa, mbona makabuila mengine hayako hivi? Mjitathmini mnaboa!
Wewe kabila gani ?
 
Ila wanyakusa ni watamu bana aisikwambie mtu halafu umpate yule anayerusha maji.
 
Rais Samia yupo Mkoa wa Mbeya kikazi kwa siku nne leo ni siku ya tatu. Sijawahi kuwaza kama wanyakyusa ni washamba na wapuuzi kiasi hiki. Yupo Rais pale na ujumbe wake. Pili tukio liko LIVE watanzania wote wanaliangalia na kufuatilia. Hasa wabunge ni washamba zaidi ni Spika tu ndiye mwelewa. Kwanini wanaongea kilugha wanapandikiza kitu gani? Kwamba lugha yao ni ya maana sana au wanapandikiza ukabila. Haya makabila ni mashamba sana na wanajidai wamesoma, wanaboa sana mpaka nimeacha kuwafuatilia nasubiri Rais asimame ndiyo nitarudi kumfuatilia. Wanajua Rais haelewi kinyakyusa, mbona makabuila mengine hayako hivi? Mjitathmini mnaboa!
Kaa kwa kutulia....Inakuboa wewe kama nani?...
Wewe utakuwa hujui lugha ya kwenu.
 
Wasukuma
Rais Samia yupo Mkoa wa Mbeya kikazi kwa siku nne leo ni siku ya tatu. Sijawahi kuwaza kama wanyakyusa ni washamba na wapuuzi kiasi hiki. Yupo Rais pale na ujumbe wake. Pili tukio liko LIVE watanzania wote wanaliangalia na kufuatilia. Hasa wabunge ni washamba zaidi ni Spika tu ndiye mwelewa. Kwanini wanaongea kilugha wanapandikiza kitu gani? Kwamba lugha yao ni ya maana sana au wanapandikiza ukabila. Haya makabila ni mashamba sana na wanajidai wamesoma, wanaboa sana mpaka nimeacha kuwafuatilia nasubiri Rais asimame ndiyo nitarudi kumfuatilia. Wanajua Rais haelewi kinyakyusa, mbona makabuila mengine hayako hivi? Mjitathmini mnaboa!
wanahusika nini hapo wewe kima? Waongee kilugha wanyakyusa uje utuzungumzie wasukuma! Mk--nd wewe!
 
Ni watu wanaojionaga wao ni Bora sana kuliko kabila nyingine, Leo nimefurahi SSH alivyowaambia kuwa mkoa wa Mbeya una tatizo la lishe, nikajua kuwa inawezekana huwa naongea na wanyakyusa kumbe ni watu wenye utapiamlo
 
Ipo Bible imendikwa kwa kinyakyusa
Pia ipo

Nyakyusa-English-Swahili and English-Nyakyusa dictionary​

content

Responsibilitycompiled by Knut Felberg.
ImprintCape Town : Mkuki na Nyota, 1996.
Physical descriptionxxii, 222 p. : maps ; 24 cm.
 
Ni watu wanaojionaga wao ni Bora sana kuliko kabila nyingine, Leo nimefurahi SSH alivyowaambia kuwa mkoa wa Mbeya una tatizo la lishe, nikajua kuwa inawezekana huwa naongea na wanyakyusa kumbe ni watu wenye utapiamlo
Ndugu,
Kama mwenyewe hujioni bora, usitegemee wengine kukuona kuwa u bora. Ndivyo psychology inavyotuambia.
 
Inferiority complex inakusumbua... Hujiamini inaonekana unaweza trombewa mkeo mbele ya wanao
 
Rais Samia yupo Mkoa wa Mbeya kikazi kwa siku nne leo ni siku ya tatu. Sijawahi kuwaza kama wanyakyusa ni washamba na wapuuzi kiasi hiki. Yupo Rais pale na ujumbe wake. Pili tukio liko LIVE watanzania wote wanaliangalia na kufuatilia. Hasa wabunge ni washamba zaidi ni Spika tu ndiye mwelewa. Kwanini wanaongea kilugha wanapandikiza kitu gani? Kwamba lugha yao ni ya maana sana au wanapandikiza ukabila. Haya makabila ni mashamba sana na wanajidai wamesoma, wanaboa sana mpaka nimeacha kuwafuatilia nasubiri Rais asimame ndiyo nitarudi kumfuatilia. Wanajua Rais haelewi kinyakyusa, mbona makabuila mengine hayako hivi? Mjitathmini mnaboa!
Hata wewe unaboa, waache watumue lugha waipendayo bwashee
 
Back
Top Bottom