Hivi Wanyakyusa na Wasukuma nani kawaambie Lugha zenu ni Dili?

Hivi Wanyakyusa na Wasukuma nani kawaambie Lugha zenu ni Dili?

Inasikitisha sana kuona mkoa unaoongoza kwa chakula kuna tatizo la lishe na mambo yanayohusu kiribatumbo.
Ni watu wanaojionaga wao ni Bora sana kuliko kabila nyingine, Leo nimefurahi SSH alivyowaambia kuwa mkoa wa Mbeya una tatizo la lishe, nikajua kuwa inawezekana huwa naongea na wanyakyusa kumbe ni watu wenye utapiamlo
 
Ukabila si jambo la kulichekelea ni unazi mambole(Neo-nazism).Ni aibu mwenyewe akili timamu kuendeleza au kuchekelea. Ni bora afungwe jiwe shingoni akatupwe Baharini
 
Rais Samia yupo Mkoa wa Mbeya kikazi kwa siku nne leo ni siku ya tatu. Sijawahi kuwaza kama wanyakyusa ni washamba na wapuuzi kiasi hiki. Yupo Rais pale na ujumbe wake. Pili tukio liko LIVE watanzania wote wanaliangalia na kufuatilia. Hasa wabunge ni washamba zaidi ni Spika tu ndiye mwelewa. Kwanini wanaongea kilugha wanapandikiza kitu gani? Kwamba lugha yao ni ya maana sana au wanapandikiza ukabila. Haya makabila ni mashamba sana na wanajidai wamesoma, wanaboa sana mpaka nimeacha kuwafuatilia nasubiri Rais asimame ndiyo nitarudi kumfuatilia. Wanajua Rais haelewi kinyakyusa, mbona makabuila mengine hayako hivi? Mjitathmini mnaboa!
Ndiyo matunda ya uchifu hayo kwani hujui aliye fufua uchifu yupo hapohapo
 
Rais Samia yupo Mkoa wa Mbeya kikazi kwa siku nne leo ni siku ya tatu. Sijawahi kuwaza kama wanyakyusa ni washamba na wapuuzi kiasi hiki. Yupo Rais pale na ujumbe wake. Pili tukio liko LIVE watanzania wote wanaliangalia na kufuatilia. Hasa wabunge ni washamba zaidi ni Spika tu ndiye mwelewa. Kwanini wanaongea kilugha wanapandikiza kitu gani? Kwamba lugha yao ni ya maana sana au wanapandikiza ukabila. Haya makabila ni mashamba sana na wanajidai wamesoma, wanaboa sana mpaka nimeacha kuwafuatilia nasubiri Rais asimame ndiyo nitarudi kumfuatilia. Wanajua Rais haelewi kinyakyusa, mbona makabuila mengine hayako hivi? Mjitathmini mnaboa!
Tatizo lako ni kutoujua ukoo wako, baba yako alikuwa konda wa dalala baada ya kumpa mimba mama yako akasepa, mama yako amekulia mjini kwao hakujui zaidi ya hapo anapopika ugali mamantilie. Matokeo yake ya kutokukujua kijijini kwenu unawaangushia hasira wenye makabila kwa kuwaita washamba. Ni mpumbavu tu anayeona eti makabila ni ushamba, na ndicho kimekufanya usiwe na adabu ya kuwaheshimu usiowajua, ungekuwa na ndugu usingeyasema hayo uliyoyaandika.
 
Wana makelele sana hawa.wakiwa wawili tu kwenye basi utadhan sasa wamekodi.
 
Tatizo lako ni kutoujua ukoo wako, baba yako alikuwa konda wa dalala baada ya kumpa mimba mama yako akasepa, mama yako amekulia mjini kwao hakujui zaidi ya hapo anapopika ugali mamantilie. Matokeo yake ya kutokukujua kijijini kwenu unawaangushia hasira wenye makabila kwa kuwaita washamba. Ni mpumbavu tu anayeona eti makabila ni ushamba, na ndicho kimekufanya usiwe na adabu ya kuwaheshimu usiowajua, ungekuwa na ndugu usingeyasema hayo uliyoyaandika.
Nyie ni washamba NO ALTERNATIVE WORD, MSG SENT AND DELIVERED. NCHI HII INA MAKABILA ZAIDI YA 120 WHY U ONLY? SHAME ON YOU! SHEET!!!
 
Nkamu kama hujampenda hiyo kitu Sokapo Hapo.
Wakina Mwaisa tupo hapa nakushangaa hiko kichefchef
 
Mtoa mada..Hajui asili yake,na wala hapendi kwao, Mbona majina ya Wanyachu mengi ya Madkta, maprofesa na wataalaam mbalimbali hamuogopi kuyaita mkitaka huduma ?.Mgeni akija kwako siku zote mfundishe uzuri wa kwenu sio ubaya. Katika hili wao wameonyesha kuwa chao ni Bora kuliko chamgeni .Kuna maeneo sio Tanzania tu..lazima ukienda utajikuta unajifunza mambo yao.
 
Back
Top Bottom