Yanatengeneza constipation unajapa sanaYaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?
Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.
Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui juzi)
Anajenga kwao huko ugwenoni huyoYaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?
Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.
Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui juzi)
Yaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?
Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.
Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui juzi)
Dah mimi naona hicho sio chakula kabisa loh.Mimi naweza kuwa kibogoyo zaidi yako,natafunia upande mmoja, lakini nikimuona bimkubwa kapika kande, siwezi kuwazia meno [emoji39], ama anipigie simu aniambie leo napika kande lazima 12 jioni niwe kwake... [emoji23]
Hata sijui sababu mkuu maajabu ya MakandeHahahaha kwann huwa hv
Mzigua babe shughuli ya kizigua bila kande na mbuni si shughuliπ¬Kwani bebi na wewe ni mpare?
wanawake wanao faa utawajua tu hata chatting zao sio hawa wa makumbushoβ€οΈ
Sijakuelewa mkuuwanawake wanao faa utawajua tu hata chatting zao sio hawa wa makumbusho
umeolewaa?Sijakuelewa mkuu
Ili nijibu swali lako jibu kwanza swali nililokuuliza kwenye comment iliyopitaumeolewaa?
unaonekana upo romantic sana unanivutia hata kwenye chat who are you?Ili nijibu swali lako jibu kwanza swali nililokuuliza kwenye comment iliyopita
Of course.....πππππ€ΈReally[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?!
Shukrani mkuuunaonekana upo romantic sana unanivutia hata kwenye chat who are you?
Ndio nimeolewa Alhamdullahumeolewaa?
Haya kapika bibi nani..!?woiii