Hivi Wapare makande mnayapendea nini?

Hivi Wapare makande mnayapendea nini?

Yaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?

Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.

Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui juzi)
Yanatengeneza constipation unajapa sana
 
Niko radhi nile ugali dagaa 24/7 365 kuliko kula kande mchana na usiku
 
Yaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?

Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.

Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui juzi)
Anajenga kwao huko ugwenoni huyo
 
Ubahili na choyo ni sababu za msingi.

Sababu za nyongeza zaweza kuwa uvivu n.k
 
Yaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika?

Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za kutosha lakini makande sasa ishakuwa tabu. Kuna nini kwenye makande.

Hapa naambiwa mme wangu unakula nini mchana huu, ugaliii au makande (hayo makande yalipikwa sijui jana mchana sijui juzi)

Makande kwa nafasi ni mazuri, ila yakipikwa kama mbinu ya kupunguza budget pole sana
 
Mimi naweza kuwa kibogoyo zaidi yako,natafunia upande mmoja, lakini nikimuona bimkubwa kapika kande, siwezi kuwazia meno [emoji39], ama anipigie simu aniambie leo napika kande lazima 12 jioni niwe kwake... [emoji23]
Dah mimi naona hicho sio chakula kabisa loh.
 
Back
Top Bottom