Azam nje ya kuonesha mpira wa Ligi kuu ya Tanganyika; hakuna kitu kingine cha maana cha kunivutia mteja kama mimi.Salam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshiba
Azam movie zao za Mbc sio HD,Picha zao sio nzuri,huo ndio ukweli.
Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.
10,000DStv Bei ya kifurushi Cha chini ni shilingi ngapi?
Mimi ni mteja wa mwanzoni wa Azam ,nilinunua Dish 2014 ,Mwanzoni walikuwa na channels nyingi halafu ilikuwa cheap sana,ila sasa channels nyingi famba.Salam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshiba
Azam movie zao za Mbc sio HD,Picha zao sio nzuri,huo ndio ukweli.
Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.
Ila zuku ndo kabisa aiseee daahAzam akikosa haki ya kurusha matangazo ya mpira wa Tanzania itakufa kibudu ukiondoa mpira haina tofauti na zuku hata startimes wame washinda
Unatumia router ipi na unalipia shingapi?Kwenye ving'amuzi na futaga mpira basi ndio maana bora utafute kirouter chako cha 5G basi unaangalia ligi zote, unasave gharama za bundle maana nyumbani una unlimited ofisini kuna wireless. Azam sema channel zao wazificha sana,ndio maana nina king'amuzi chao.Ila DSTV hii 5G na 4G inawatoa sokoni polepole,sijakilipia nina mwaka wa pili huu,mwendo wa kustream tu online.Kuhusu movie na series kuna website zipo movie utizama free hulipii hata senti.
Mkuu hebu naomba uni-enlighten zaidi kuhusu huu mchakato mzimaKwenye ving'amuzi na futaga mpira basi ndio maana bora utafute kirouter chako cha 5G basi unaangalia ligi zote, unasave gharama za bundle maana nyumbani una unlimited ofisini kuna wireless. Azam sema channel zao wazificha sana,ndio maana nina king'amuzi chao.Ila DSTV hii 5G na 4G inawatoa sokoni polepole,sijakilipia nina mwaka wa pili huu,mwendo wa kustream tu online.Kuhusu movie na series kuna website zipo movie utizama free hulipii hata senti.
Azam amejikita katika burudani ya ndani,na ni kitu ambacho amewazidi hata DSTV.Salam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshibq.
Azam movie zao za Mbc sio HD,Richards zao sio nzuri,huo ndio ukweli.
Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.
Angalau wanajitahidi mkuu.Channel ya kipuuzi. Wabongo hawawekezi katika kazi zao, wanaamini katika kubahatisha.
Filamu zinazooneshwa humu ni za kiwango cha chini ambazo mtu timamu hawezi kupoteza muda kutazama.
Kama kweli wana lengo la kunyanyua tasnia, wawekeze pesa kweli kama ilivyo kwenye mpira.
Azam wanajitahidi kuleta ubora wa HD.Kama unyotaka ku-download high quality pictures katika simu unakiwa MB nyingi, hivyo hivyo katika ubora wa picha katika TV, DSTV wana ubora mkubwa, na bei zao kubwa, Azam wana ubora wa picha wa chini kama inataka kupauka, bei yao chini. Na haya makampuni kuna mahali wanalipia aina ya ubora wa picha wanaoutaka