Hivi wapenzi wa King'amuzi cha Azam tofauti na ligi ya Tanzania kuna nini?

Hivi wapenzi wa King'amuzi cha Azam tofauti na ligi ya Tanzania kuna nini?

Salam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshiba
Azam movie zao za Mbc sio HD,Picha zao sio nzuri,huo ndio ukweli.

Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.
Azam nje ya kuonesha mpira wa Ligi kuu ya Tanganyika; hakuna kitu kingine cha maana cha kunivutia mteja kama mimi.
 
Screenshot_20240816_000637_Facebook.jpg
 
Salam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshiba
Azam movie zao za Mbc sio HD,Picha zao sio nzuri,huo ndio ukweli.

Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.
Mimi ni mteja wa mwanzoni wa Azam ,nilinunua Dish 2014 ,Mwanzoni walikuwa na channels nyingi halafu ilikuwa cheap sana,ila sasa channels nyingi famba.

Wanawake wanapenda kwa ajili ya tamthilia zao zilizotafsiriwa.
 
Kumshindanisha dst iliyoanza 1996 na azam wa mwaka2013 sio sawa naiman hata wao walianza na makosa mengii kabla ya kufikia huo ubora unao uona leo big up kwa azam mpaka kushindwanisha na mkongwe wa kimataifa si jambo dogooooooo
 
Kwenye ving'amuzi na futaga mpira basi ndio maana bora utafute kirouter chako cha 5G basi unaangalia ligi zote, unasave gharama za bundle maana nyumbani una unlimited ofisini kuna wireless. Azam sema channel zao wazificha sana,ndio maana nina king'amuzi chao.Ila DSTV hii 5G na 4G inawatoa sokoni polepole,sijakilipia nina mwaka wa pili huu,mwendo wa kustream tu online.Kuhusu movie na series kuna website zipo movie utizama free hulipii hata senti.
Unatumia router ipi na unalipia shingapi?
 
Kwenye ving'amuzi na futaga mpira basi ndio maana bora utafute kirouter chako cha 5G basi unaangalia ligi zote, unasave gharama za bundle maana nyumbani una unlimited ofisini kuna wireless. Azam sema channel zao wazificha sana,ndio maana nina king'amuzi chao.Ila DSTV hii 5G na 4G inawatoa sokoni polepole,sijakilipia nina mwaka wa pili huu,mwendo wa kustream tu online.Kuhusu movie na series kuna website zipo movie utizama free hulipii hata senti.
Mkuu hebu naomba uni-enlighten zaidi kuhusu huu mchakato mzima
 
Salam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshibq.
Azam movie zao za Mbc sio HD,Richards zao sio nzuri,huo ndio ukweli.
Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.
Azam amejikita katika burudani ya ndani,na ni kitu ambacho amewazidi hata DSTV.
Azam ukiondoa mpira kuna channel za Azam one,azam two,sinema zetu ameweka tamthilia ambazo zinakamata akili za kinamama na watoto hadi baadhi ya kinababa.
Tamthilia hizo huzikuti sehemu yeyote hata DSTV huzikuti.
Hasa sinema zetu ameweka tamthilia ambazo ndizo zinachukua tuzo za TIFF,hiyo imepelekea soko la filamu Tanzania kutekwa na Azam media.
Kiufupi Azam kateka burudani ya ndani.
 
Channel ya kipuuzi. Wabongo hawawekezi katika kazi zao, wanaamini katika kubahatisha.
Filamu zinazooneshwa humu ni za kiwango cha chini ambazo mtu timamu hawezi kupoteza muda kutazama.

Kama kweli wana lengo la kunyanyua tasnia, wawekeze pesa kweli kama ilivyo kwenye mpira.
Angalau wanajitahidi mkuu.
Usiwe mtu wa kukosoa kila kitu.
Kuna movie inaitwa the kidnap.
Iliingia hadi viwango vya Netflix ile movie.Ilitengenezwa kwa dola laki moja ila mauzo yake yalipita dola laki tano.
Kuna tamthilia kama Shilingi,Kombolela,Haikufuma aisee walioandika hizo tamthilia ni noma.
Na hiyo ni chachu kidogo ya uwekezaji wa Azam.
Usiponde tu mzee haifai.
 
Kama unyotaka ku-download high quality pictures katika simu unakiwa MB nyingi, hivyo hivyo katika ubora wa picha katika TV, DSTV wana ubora mkubwa, na bei zao kubwa, Azam wana ubora wa picha wa chini kama inataka kupauka, bei yao chini. Na haya makampuni kuna mahali wanalipia aina ya ubora wa picha wanaoutaka
Azam wanajitahidi kuleta ubora wa HD.
Kwa television za ndani wamefanikiwa ila za nje bado.
 
Back
Top Bottom