Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Tubarikiwe Sote RafikiKwa kauli hizi naamini nimeokota dhahabu ndani ya Kariakoo. Ubarikiwe rafiki
Unaangalia mechi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tubarikiwe Sote RafikiKwa kauli hizi naamini nimeokota dhahabu ndani ya Kariakoo. Ubarikiwe rafiki
Acha wivu uniueMmmhhhh!!! Mkuu unaona wivu??? Usione wivu bhanaaa
AamynTubarikiwe Sote Rafiki
Unaangalia mechi?
HaitopendezaaaaAcha wivu uniue
Amina!Tubarikiwe Sote Rafiki
Unaangalia mechi?
Barcelona ila bado 0-0Amina!
Niko chaka best, hata sijui kuna mechi gani leo. Matokeo plz
Inaelekea hukuwahi kuwa na marafiki tokea umezaliwa au huyu msichana utakuwa unamyaka kimapenzi lkn unashindwa kumwambia huu ni uzi zaidi ya wa pili unasifia urafiki na mwanamke huyohuyo
Hakika maana kutofautiana ni dakika 2 tuHongera kwapataa rafiki ilaa safari bado inaendeleaa
kikinuka na hizo ngonjera hasizisahauInaelekea hukuwahi kuwa na marafiki tokea umezaliwa au huyu msichana utakuwa unamyaka kimapenzi lkn unashindwa kumwambia huu ni uzi zaidi ya wa pili unasifia urafiki na mwanamke huyohuyo
Your_my friendHizo pozi sijui hata zinafananaje
[emoji79][emoji79][emoji79][emoji79]Sitaki rafiki JF nilishapata mmoja humu kufumba kufumbua kumbe nikicheche wamtaani kwetu duh nilichoka
Wamtaani ndio hawahawa wajf so ukishindwa kula chakula kwenye mwanga sidhani kama utaweza kula chakula hichohicho kwenye giza. JF nigizani kwenye mwanga nihuko ulipo.
Siku ukilizwa usiukane uzi wako
Hahahaha mkuu inaonekana unawajulia vizuri sana hawa akina Hawa.Inaelekea hukuwahi kuwa na marafiki tokea umezaliwa au huyu msichana utakuwa unamyaka kimapenzi lkn unashindwa kumwambia huu ni uzi zaidi ya wa pili unasifia urafiki na mwanamke huyohuyo
Hahahaha mkuu inaonekana unawajulia vizuri sana hawa akina Hawa.
Sitaki rafiki JF nilishapata mmoja humu kufumba kufumbua kumbe nikicheche wamtaani kwetu duh nilichoka
Wamtaani ndio hawahawa wajf so ukishindwa kula chakula kwenye mwanga sidhani kama utaweza kula chakula hichohicho kwenye giza. JF nigizani kwenye mwanga nihuko ulipo.
Siku ukilizwa usiukane uzi wako
Dooh! Nikaoge feri au nikaogee magadi? Maana siangukii kabisa kwa akina Hawa[emoji50]wivu tu[emoji4][emoji4].kwan kina Hawa wote magumashi[emoji58] huoni mtoa mada anaendelea kumsifu humu daily..[emoji23]labdq ww hujabahatika tu my dear..mimi mwenyew nimepata rafiki humu tunatembeleana tunapika pamoja tunaalikana.. wapo bwana!
Dooh! Nikaoge feri au nikaogee magadi? Maana siangukii kabisa kwa akina Hawa[emoji50]