Hivi wapo marafiki wazuri JF zaidi ya huyu niliyempata mimi?

Hivi wapo marafiki wazuri JF zaidi ya huyu niliyempata mimi?

Sitaki rafiki JF nilishapata mmoja humu kufumba kufumbua kumbe nikicheche wamtaani kwetu duh nilichoka

Wamtaani ndio hawahawa wajf so ukishindwa kula chakula kwenye mwanga sidhani kama utaweza kula chakula hichohicho kwenye giza. JF nigizani kwenye mwanga nihuko ulipo.

Siku ukilizwa usiukane uzi wako
[emoji79][emoji79][emoji79][emoji79]
Pole mkuu. Ila nimeipenda avatar yako. Nadhani ssa unakula vitamu somewhere.
 
Sitaki rafiki JF nilishapata mmoja humu kufumba kufumbua kumbe nikicheche wamtaani kwetu duh nilichoka

Wamtaani ndio hawahawa wajf so ukishindwa kula chakula kwenye mwanga sidhani kama utaweza kula chakula hichohicho kwenye giza. JF nigizani kwenye mwanga nihuko ulipo.

Siku ukilizwa usiukane uzi wako


😂😂😂huu uzi umegubikwa na wenye vijicho..
sio wote wapo hvyo bwana..au la una wivu tu au unatumika na mabeberu😤😤
 
wivu tu[emoji4][emoji4].kwan kina Hawa wote magumashi[emoji58] huoni mtoa mada anaendelea kumsifu humu daily..[emoji23]labdq ww hujabahatika tu my dear..mimi mwenyew nimepata rafiki humu tunatembeleana tunapika pamoja tunaalikana.. wapo bwana!
Dooh! Nikaoge feri au nikaogee magadi? Maana siangukii kabisa kwa akina Hawa[emoji50]
 
Back
Top Bottom