Hivi wapo marafiki wazuri JF zaidi ya huyu niliyempata mimi?

[emoji79][emoji79][emoji79][emoji79]
Pole mkuu. Ila nimeipenda avatar yako. Nadhani ssa unakula vitamu somewhere.
 


😂😂😂huu uzi umegubikwa na wenye vijicho..
sio wote wapo hvyo bwana..au la una wivu tu au unatumika na mabeberu😤😤
 
wivu tu[emoji4][emoji4].kwan kina Hawa wote magumashi[emoji58] huoni mtoa mada anaendelea kumsifu humu daily..[emoji23]labdq ww hujabahatika tu my dear..mimi mwenyew nimepata rafiki humu tunatembeleana tunapika pamoja tunaalikana.. wapo bwana!
Dooh! Nikaoge feri au nikaogee magadi? Maana siangukii kabisa kwa akina Hawa[emoji50]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…