Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufarijiane tu kwa maneno matamu, hugs..kisses mara moja moja. Hivyo tu yaaniUnataka umfanye nini mbaba wa watu[emoji16][emoji16]
Mbele ya safari nitaijua akili yakeUnapimaje akili?.
Kwa nini mwenye mke?Tufarijiane tu kwa maneno matamu, hugs..kisses mara moja moja. Hivyo tu yaani
Kwasababu na mimi nina mume. Tutaelewana zaidiKwa nini mwenye mke?
Nitampata tuYale yale ya "too late".
nipo hapaMi natafuta mbaba mtu mzima 45+, mwenye mke, awe na akili.
Hali halisi inaokana mtaaniKama unavyoona mtaani wengi ni wadangaji,watu safi wachache, basi huko mtandoni hali ni hiyo hiyo, wema wachache, wadangaji wengi.
Wanajitangaza wazi yaani ukiingia Instagram na Telegram ni mitandao ya ovyo kabisa unakuta mtu kaanzisha group la wauza malaya JF Pekee ndio mtandao safewengi wa hao wachumba ni wajasiria-uchi,
hata jF ni vile vile, anaulizia kwa mwezi unapokea sh. ngapiJF Pekee ndio mtandao safe
Ushauri mzuri na wenye busara, kutangaza hadharani hili suala inahitaji umakini wa hali juu. Na wale walio siriazi wanaweza wakachukulia tofauti na mhitaji.Kwa siku za karibuni kwenye mitandao mbali mbali kumeshamiri maombi ya kuhitaji Wenza...natamani kujua kama kuna utafiti umefanyika kujua mafanikio ya mfumo huu.
Maombi haya yamekuwa yakiambatishwa na vigezo lukuki huku vingi ya hivyo ni ngumu hata kupatikana kwa Mtu mmoja.
Pia kinachochanganya zaidi ni pale unapokuta eti hata binti wa mika 21, 22, mpaka 25 kukuta nae anatafuta Mchumba au Mwenza wa kuishi nae mtandaoni.
Sikatai kwamba wapo wanaofanikisha matakwa yao lakini pia wapo wengi wanaokwama kutokana na kutoka kabisa kwenye uhalisia na kubaki tu kama Wacheza kamari.
Kwa vyoyote ni ngumu kwa Mtu kumkubali Mtu kwa kusoma tu maelezo yake mtandaoni...sidhani kama yeye kwa kuandika tu anahitaji Mwenza Mcha Mungu basi Msomaji ajiridhishe kuwa Muombaji ni Mcha Mungu.
Nadhani kunahitajika namna nyingine zaidi ya kutafuta Wenza zaidi ya hii ya mitandaoni, yaani hata kama itaanzaia mtandaoni basi kwa kipindi maalumu Waombaji na Wahitaji wakae chini ya uangalizi wa Wajuzi wa mambo kabla hata ya kukutana.
Na baada ya hicho kipindi wote watakuwa na nafasi ya kupitia matokeo (results) ya aina ya Waombaji na Wahitaji wao...bila shaka kwa njia hii itakuwa ni rahisi zaidi kwa Mtu kuchagua Mtu mwenye kuendana nae badala ya Mtu kulazimika kwenda kwa asiyemju kabisa.
Watu wapo kimaslahi zaidihata jF ni vile vile, anaulizia kwa mwezi unapokea sh. ngapi
ili ajue aina gani ya invoice awe anakutupia,
hakuna love, ni mwendo wa cash for a coochie