ona sasa!!! hata hawasomi ramani ya vita....wankurupuka tu sasa hapo kakaangu angempa kibano tena iwe balaa!!!
haya mtatest mpaka kwenye shoti!!Kutest zali muhimu bht maana hata ndoano unarusha hujui itanasa au lah! huoni mm kule Mby nilisimamisha kifaa kikasimama nikakipiga sera mpaka kikakolea nikakivuta sehemu ya vinywaji kikajongea kujaribu muhimu.
kuanzia nimeanza ku approachiwa mpaka nazeeka cjawahi mjibu mtu nyodo, namwambia tu "halitawezekana kaka yangu"...kwa mcctizo.
Nyamayao nina swali kwako;mimi nimekuona wewe let say pale Mr. Price,sawa,sasa nikakuona umrembo mzuri mwenye mvuto na nikatamani nikufuate nimwage sera zangu kwako,ghafla akatokea shangazi yako akakuomba umpeleke labda Shoprite au nje ya Mlimani City,sasa mimi nikupate wapi wewe?
Kwa yale mazingira nimeshindwa kukupata wewe,ndo maana wanaume wanatumia njia hiyo ili kuacha kumbukumbu na mengineyo,lkn midada linajifanya kumsahau mtu,hii tabia ipo sana hasa kwa wadada!
haya mtatest mpaka kwenye shoti!!
hajaokoka ndio mana nikasema balaa halipigi hodi, kilichoendelea hapo wacha tu nijinyamazie........
Kutest zali muhimu bht maana hata ndoano unarusha hujui itanasa au lah! huoni mm kule Mby nilisimamisha kifaa kikasimama nikakipiga sera mpaka kikakolea nikakivuta sehemu ya vinywaji kikajongea kujaribu muhimu.
usiniambie kuna continuation sema we umekat shoti
lakini ishu ni kwamba kabla ya kunifata uwe umshasoma ramani kama mie ni level yako au laa, ishu ya frnd wako ni kwamba mkaka hakuwa level yake.
unajua angetilia"
"Usinione mzembe, kupata ni majaliwa,
Ndevu amekosa ng'ombe, lakini mbuzi kapewa,"
ndio kusemaje tena huko jamani...haaa na wewe mume wangu una vimbwanga sana.
mr ali mind sana, ilinabidi mie nijikalie pembeni nijionee malumbano, lakini ckupendezewa hata kidogo...ustaarabu jamani kaka zangu unahitajika kidogo.
Hahahaha hapo kwenye level dah ndo maana sisi wengine tunaambulia wa uswazi tu maana hawa wenye level ndo wale wa mboga 7 alafu geti kali na maumbwa juu.
cjamaanisha hivyo Fidel, nisome comments zangu za nyuma utanielewa.
Thats my girl! Umekula Senksi! Kwa hiyo kutongozwa dili siyo? Ishu inakuwa kukubali au kukataa, siyo? Sasa hilo shenzy taipu linatongozwa badala ya kufurahi lenyewe linatukana. Shwaini!
Inatakiwa unavyo mjibu hivyo unatoa na sababu za msingi.
Kwangu mm hapo kama unanipa next chance ya kujipanga upya na sera mpya.
Kutongozwa dili asikuambie mtu and it feels good sana pale ambapo anayekutogngoza naye umemdondokea ipasavyo kimapenzi tehtehtehteh
Huyo jamaa aliondoka na dento fomyula iliyotimia? He! No one, narudia tena, No one, tena, NO ONE, atamtongoza mke wangu mbele ya macho yangu afu afanikiwe kuondoka na meno yake yote 32. Ama zake ama zangu! Ala!
Kutongozwa dili asikuambie mtu and it feels good sana pale ambapo anayekutogngoza naye umemdondokea ipasavyo kimapenzi tehtehtehteh
Huyo labda alikuwa kazini wengine wanakaaga sana pale kuuza sura hawana lolote.
alimjibu vibaya sana honestly it doesnt take a million of your heart beats kuwa polite na mtu hata kama hajakuvutia ila pia na wewe unayemtamani uwe na strategies za kumtokea mtu thats my whole point hapa muanzisha thread Papa Mopao. mademu wengine wanakuwaga na visirani
hahaaa!!! inaudhi afu eti wewe ndo unasimama mwenyewe tayari kutoa msaad kumbe limjamaa lina ajenda yake!!!
siku moja kanisimamisha jamaa imagine asubh naenda kazini huku kashika kichapati chake kimefungwa kwenye gazeti.......loh God forgive me...tena anakigugumizi eti dada smahani, una haraka!!!!???? (kilichoendelea kila mtu anaweza kuimajini apendavyo)
hahaaaa sitaki kukumbuka jamani mamen bana aah!!![/QUOTE]
Kweli wakati mwingine inakera bht,wakati mwingine huwa natamani hata kulia.Kuna babu mmoja kabakiza mwaka 1 astaafu halafu ana wake 2 tayari lakini naye anataka niwe mkewe wa ndoa.Ukimwangalia amechoka na anavyojiweka mwenyewe loooh,utachoka(sio kama namtukana ndio ukweli alivo).Huwa natamani kumtukana lakini Nashukuru Mungu sikuumbwa na mdomo wa matusi.Yani samtaimz ni kero kwelikweli.