Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
ona sasa!!! hata hawasomi ramani ya vita....wankurupuka tu sasa hapo kakaangu angempa kibano tena iwe balaa!!!
Kutest zali muhimu bht maana hata ndoano unarusha hujui itanasa au lah! huoni mm kule Mby nilisimamisha kifaa kikasimama nikakipiga sera mpaka kikakolea nikakivuta sehemu ya vinywaji kikajongea kujaribu muhimu.