Hivi na wanaume nao huwa mnatongozwa na wadada??na unajisikiaje ukiwa unatongozwa na mwanamke???
Ila Mr. ako hapo alijidhalilisha sana kwa nn arumbane na mtu ane rusha ndoano? wewe ulitakiwa kumwambia jamaa nipo na Mr. angu huyu hapa jamaa angekula hamsini zake. Mi nikiwaga na kifaa cha uswazi mbona miruzi na siiiiiiiiiii nyingi sana kitaa
Na ikatokea ukatongozwa na watu 10 na wote ukavutiwa nao?
atakuepo mmoja "anayekuvutia kimapenzi" na kama hakuna maisha yanendelea.
Nina swali ambalo nadhani halitoki nje ya mada sana
Hivi na wanaume nao huwa mnatongozwa na wadada??na unajisikiaje ukiwa unatongozwa na mwanamke???
Thats impossible ten people uvutiwe nao wote kwa wakati mmoja??? ni hivi, among hao ten maybe atakuepo mmoja "anayekuvutia kimapenzi" na kama hakuna maisha yanendelea.
Mh Fidel inategemea bwana saa nyingine ukitongozwa sana haimaanishi wewe mzuri sana bana!! mimi ikitokea nimetongozwa mara nyingi hujiuliza au nimekaa kutongozwatongozwa? au naonekana easy going maharage laini kiasi kwamba kila mmoja anajaribu bahati aone kama atajipayia?Alafu nasikia nyie akinadada usipi simamishwa barabarani mwezi mmoja lazima uende ukaoshe nyota hii vp ni kweli? maanake unagundu balaa haijalishi umeolewa au hujaolewa.
Mh Fidel inategemea bwana saa nyingine ukitongozwa sana haimaanishi wewe mzuri sana bana!! mimi ikitokea nimetongozwa mara nyingi hujiuliza au nimekaa kutongozwatongozwa? au naonekana easy going maharage laini kiasi kwamba kila mmoja anajaribu bahati aone kama atajipayia?
kutongozwa sana kunakera pia.
Nina swali ambalo nadhani halitoki nje ya mada sana
Hivi na wanaume nao huwa mnatongozwa na wadada??na unajisikiaje ukiwa unatongozwa na mwanamke???
Ni sunnaNa kutongozwa kiasi?
Wanawake wanatongoza tena saaaaaaaana na ndio maana kuna viserengeti boys tena vinabembelezwa.
Na hata mahusiano ya kawaida kabisa ya mume na mke ,wapo wanawake walioanzisha mahusiano na ndoa inadumu tu.
Pia kuna kutongoza indirect,mara vizawadi ,mara salaamu nyingi na vitu kama hivyo..
Mimi sioni tatizo mwanamke kutongoza kama umempenda mtu ila tu maadili yawepo.
Ni sunna
Ndo mana nikasema ustaarabu hauuzwi madukani. Kutukana ni hulka ya mtu tu Xpin.Sasa mbona mnatutukana?
Binamu sorry sikuwa matenity nilikuwa natafuta mtotoAfu na wewe mateniti livu imeshaisha?
Binamu sorry sikuwa matenity nilikuwa natafuta mtoto
hahaaa!!! inaudhi afu eti wewe ndo unasimama mwenyewe tayari kutoa msaad kumbe limjamaa lina ajenda yake!!!
siku moja kanisimamisha jamaa imagine asubh naenda kazini huku kashika kichapati chake kimefungwa kwenye gazeti.......loh God forgive me...tena anakigugumizi eti dada smahani, una haraka!!!!???? (kilichoendelea kila mtu anaweza kuimajini apendavyo)
hahaaaa sitaki kukumbuka jamani mamen bana aah!!![/QUOTE]
Kweli wakati mwingine inakera bht,wakati mwingine huwa natamani hata kulia.Kuna babu mmoja kabakiza mwaka 1 astaafu halafu ana wake 2 tayari lakini naye anataka niwe mkewe wa ndoa.Ukimwangalia amechoka na anavyojiweka mwenyewe loooh,utachoka(sio kama namtukana ndio ukweli alivo).Huwa natamani kumtukana lakini Nashukuru Mungu sikuumbwa na mdomo wa matusi.Yani samtaimz ni kero kwelikweli.
hahaaaa loh jamani samtaimz unahisi una nuksi.....ZD juzi mi yalinikuta kibabu kingine kiadvoketi......nakiita muhishimiwa kila siku si kikakosea nimesheki nacho mkono kikanipa ile signal ya ninihiiii!!!! yaani toka siku ile badala ya muhishimiwa amedeuka mdharauliwa ....malabuku nilikasirika sana!!!! ujumbe aliupata!!!
signal ya ninihiiii!!!! [/COLOR]yaani toka siku ile badala ya muhishimiwa amedeuka mdharauliwa ....malabuku nilikasirika sana!!!! ujumbe aliupata!!!
Hahahhaaa,Yani wakati mwingine huwa naanza kumlaumu Mungu kwa hasira.Inaudhi sana yani,mtu unaona kabisa hatuendani halafu ukizingatia nakuheshimu kama baba yangu na shikamoo nakupa.Yani ni halali yao kutukanwa samtaimz.