Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Gifted man.......wazee wa shule za vipaji maalum wamevumbua hata ganda la betri?Hivi gharama ya mashine zake ni kiasi gani na anapatikana wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gifted man.......wazee wa shule za vipaji maalum wamevumbua hata ganda la betri?Hivi gharama ya mashine zake ni kiasi gani na anapatikana wapi?
Mama amewamwagia mapesa na utafiti wanafanya na matokeo yapo.Hivi hawa hufanyaje hizi tafiti zao. Maana navyojua sio rahisi kufanya utafiti hapa bongo hasa ukizingatia hatuna miundombinu rafiki. Hatuna uwekezaji wala wataalamu wanaoweza kufanya hizi zaidi ya ku dowload tafiti za watu wa nje huko. Kwa nini tunaziita tafiti ile hali ni copy na ku paste.
Ngoja ajibu nami nautak huo mtamboHivi gharama ya mashine zake ni kiasi gani na anapatikana wapi?
HahahaaKula kushiba na kunya
Outlet ya tafiti ni peer review publication, siyo mafaili ya serikalini. Ripoti kama za consultancy au za tume huo siyo utafiti, ni maoni ya mwandikaji ambayo hawezi kuthibitishwa na mwandikaji mwingine huru.Research zinafanyika sana tu. Ma file yako makabatini kwenye wizara, taasisi na mashirika ya umma. Wakulaumiwa ni wale wavivu, walio na ubongo wenye ukungu, hawataki maendeleo, wanafanya kazi kwa mazoea, kwao hawana uzalendo wala kujali maendeleo ya nchi!
Mfano treni ya Mwakyembe nk nk...