Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Sasa wabongo ndio wanaitumia katika mifano niliyotoa. ...by the way mbona wewe ndio unaonekana kenge hapa maana nimekutolea hadi mifano in what context wabongo wanaboronga lakini bado huelewi.
Hiyo heading iko very clear nini umemaanisha, na hata ndani ya uzi hujasema kama unazungumzia katika mifano hiyo tu, bali umetolea kama moja ya mifano...! Sasa omba mods wabadilishe heading, ongeza , ‘katika sentensi hizi?’
 
Sawa mkuu nadhani kwa mbali umenielewa. Hili ni tatizo la watanzania wengi mno hivyo sikuona sababu ya kuelezea in details nikiamini kwamba kila mtu anayeishi Tanzania na anayejua kiingereza analijua. Na kwa nyongeza tu huwa unawasikia watanzania wanavyotamka maneno haya "schedule na assume?" Schedule wanaitamka "shejo au shedo" assume wanaitamka "ashumu" hii inaonyesha ni jinsi gani huko shuleni wanafundishwa maana haiwezi kutokea kwa bahati mbaya tu kila mtu akawa anaongea kiingereza cha hivi.
hujakuatan na watu wanavyotamka "Issue" "inshu" sijui wapi wameitoa hiyo herufi "n"
 
Kwa tafsiri isiyo rasmi "Unless maana yake isipokuwa/la sivyo. Otherwise maana yake isipokuwa/la sivyo". Hivyo chagua neno mojawapo tu uteleze, utaelewaka zaidi badala ya kulazimisha kuyatumia yote kwa wakati mmoja.
Nadhani shida imeanzia hapa...tafsiri yako ya kiswahili kwa neno otherwise siyo sahihi...binafsi sioni shida na sidhani Kama Kuna makosa haya maneno kutumika pamoja
 
Inabore kuona mtu anaongea maneno mawili yenye maana sawa. Sijawahi kusikia wenye kiingereza chao wanaongea hivi. Hata sisi waongea kiswahili huwezi kuongea maneno mawili ya kiswahili yenye maana sawa kwa wakati mmoja
Utasikia halafu then akaja home
 
Yapo bwana..mfano:
Mdogo Mdogo,Pikipiki ,barabara,pole pole

Mfano Mr Blue alisema 'Tunatafuta Pesa Pesa Pesa,Tutazipata Pesa Pesa Pesa pesa'

Mifano mingine ya sentensi
1.Juma Ni Rafiki mwandani wangu
2.kila ijumaa Kuna Soko la gulio pale mwenge
3.Nia Na dhamira ya Huu mkutano Ni kudumisha upendo
4.Maskini! kumbe Juma Ni fukara?
5.Yule pale sio mwenyekiti ila ni naibu makamu mwenyekiti
6.Dhamira Na kusudi la kuja hapa Ni ili nikutongoze
Jf is never boring.....in The Boss voice.
 
Na ndiyo point ya lugha. Kuwa tuelewane. Ukishanielewa sababu kuu ya kutumika hiyo lugha inakuwa imetimia.
Naelewa point ya lugha ni kuelewana, lakini kama unaharibu bila kujali na ku assume nitakuelewa tu, utajuaje nitakuelewa?

This is an arrogant ignorance. Mtu anakujambia halafu ukimuambia umejamba unasema ushuzi utapita tu hauwezi kuua mtu.

Mtu kakukanyaga kwenye daladala, ukimwambia hapa umenikanyaga, anakwambia si tutafika tu, lengo la kupanda daladala ni kufika safari.

Mwachie aliyejambiwa aseme ushuzi utapita tu.

Mwachie uliyemkanyaga aseme atafika tu.

Mwachie uliyemuharibia lugha aseme amekuelewa tu.

This ignorant arrogance is normalizing verbal diarrhea.
 
Naelewa point ya lugha ni kuelewana, lakini kama unaharibu bila kujali na ku assume nitakuelewa tu, utajuaje nitakuelewa?

This is an arrogant ignorance. Mtu anakujambia halafu ukimuambia umejamba unasema ushuzi utapita tu hauwezi kuua mtu.

Mtu kakukanyaga kwenye daladala, ukimwambia hapa umenikanyaga, anakwambia si tutafika tu, lengo la kupanda daladala ni kufika safari.

Mwachie aliyejambiwa aseme ushuzi utapita tu.

Mwachie uliyemkanyaga aseme atafika tu.

Mwachie uliyemuharibia lugha aseme amekuelewa tu.

This ignorant arrogance is normalizing verbal diarrhea.
Upo sahihi kabisa, ushuzi utapita na safari mtafika tu yaani.
 
Naelewa point ya lugha ni kuelewana, lakini kama unaharibu bila kujali na ku assume nitakuelewa tu, utajuaje nitakuelewa?

This is an arrogant ignorance. Mtu anakujambia halafu ukimuambia umejamba unasema ushuzi utapita tu hauwezi kuua mtu.

Mtu kakukanyaga kwenye daladala, ukimwambia hapa umenikanyaga, anakwambia si tutafika tu, lengo la kupanda daladala ni kufika safari.

Mwachie aliyejambiwa aseme ushuzi utapita tu.

Mwachie uliyemkanyaga aseme atafika tu.

Mwachie uliyemuharibia lugha aseme amekuelewa tu.

This ignorant arrogance is normalizing verbal diarrhea.
Trust me ingekuwa Hivi,,mpaka Leo tungekuwa tunaongea Old English au classic arabic
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.


For instance:
“Give me your laptop otherwise I will reveal your dirty secret”
“Give me your laptop unless otherwise I will reveal your dirty secret”

Unless you bring my laptop I will not give you back your book”
Unless otherwise you bring my laptop I will not give you back your book”

Nimeona nipandishe hii mifano ili nieleweke zaidi maana kuna watu humu wanatetea vitu viko wazi kabisa.
Nimekuta thread imefika page 11. Sikuwa na muda wa kusoma comment zote hivyo pengine kuna mdau ameshaelezea. Ni hivi: Kutumia maneno Unless otherwise kwa pamoja siyo kosa kutegemea na ulivyoyatumia. Hii sentence ni correct: The guy is in trouble unless otherwise. Hapa umesema kuwa jamaa yuko kwenye shida kubwa na atanusurika iwapo kitu/hali nyingine (ambacho hatuijui) itatokea. Neno otherwise limetuka kuwakilisha kitu/hali yoyote itayomwokoa huyo jamaa aliye kwenye shida.
 
Trust me ingekuwa Hivi,,mpaka Leo tungekuwa tunaongea Old English au classic arabic
Kuna lugha zina formal custodians na nyingine hazina.

Kiingereza hakina. Kiarabu hakina.

Kifaransa kina. Kiswahili kina.
 
Sijakuelewa kabisa
Kuna lugha zinaongozwa na mabaraza rasmi ya kupitisha maneno. Mfano ni Kifaransa (Academie Francaise) na Kiswahili (BAKITA).

Kuna lugha hazina mabaraza rasmi ya kupitisha maneno. Mfano ni Kiingereza na Kiarabu.

Mifano yako ya Old English na Classic Arabic haifai.

Kwa sababu ni mifano inayoangalia lugha ambazo hazina mabaraza rasmi ya kupitisha maneno (Kiingereza na Kiarabu) katika kuzilinganisha na lugha yenye baraza rasmi la kupitisha maneno (Kiswahili).
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.


For instance:
“Give me your laptop otherwise I will reveal your dirty secret”
“Give me your laptop unless otherwise I will reveal your dirty secret”

Unless you bring my laptop I will not give you back your book”
Unless otherwise you bring my laptop I will not give you back your book”

Nimeona nipandishe hii mifano ili nieleweke zaidi maana kuna watu humu wanatetea vitu viko wazi kabisa.
Hili ndilo tatizo la kukariri kila kitu toka kwenye Biblia, Qur'an na vitabu vya shule bila hata kufikiri.
 
Back
Top Bottom