Hivi Watanzania, mbona mumefyatuka namna hii kisa mzungu kahoji mlivyotumia msaada aliyowapa dhidi ya Corona?

Hivi Watanzania, mbona mumefyatuka namna hii kisa mzungu kahoji mlivyotumia msaada aliyowapa dhidi ya Corona?

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Mbunge mmoja kule Ulaya alihoji vigezo vilivyotumika kuwapa Watanzania msaada wa hela dhidi ya Corona ilhali wao Watanzania walishasema walipona Corona kwa kupitia maombi ya siku tatu.

Dah! Naona Watanzania wamejibu kwa hasira, povu zinawatoka, mishipa imevimba. Hehehehe!

Hapa hii video waziri wao anafyatuka namna walipigana sijui wapi huko, namna majeshi yao hayajawahi kushindwa mara walivyoikomboa Afrika. Mara climate change mara Nyerere sijui alifanya nini yaani anaparamia kila kitu hata sijamuelewa hoja yake haswa ni nini.

Labda ni washauri Watanzania, baada ya mbwembwe zote hizo muandae daftari litakalochanganua namna mlivyotumia hela ya mbeberu, maana bado mtamzungushia kibakuli cha misaada, mnamtegemea, yeye hasklizi hizi blah blah za sijui mlipigana Comoro, Kagera sijui wapi huko.

 
Wewe unataka kumuelewa waziri kama nani? Ujumbe sio wako wala wewe sio European sasa kiherehere cha nini?

Likija suala la msaada wa chakula ndio uongee sababu hizo ndio agenda za msingi kuhusu Kenya

So far so good pata hii 👇👇

Polish_20201122_054013465.png
 
Mbunge mmoja kule Ulaya alihoji vigezo vilivyotumika kuwapa Watanzania msaada wa hela dhidi ya Corona ilhali wao Watanzania walishasema walipona Corona kwa kupitia maombi ya siku tatu.

Dah! Naona Watanzania wamejibu kwa hasira, povu zinawatoka, mishipa imevimba. Hehehehe!

Hapa hii video waziri wao anafyatuka namna walipigana sijui wapi huko, namna majeshi yao hayajawahi kushindwa mara walivyoikomboa Afrika. Mara climate change mara Nyerere sijui alifanya nini yaani anaparamia kila kitu hata sijamuelewa hoja yake haswa ni nini.

Labda ni washauri Watanzania, baada ya mbwembwe zote hizo muandae daftari litakalochanganua namna mlivyotumia hela ya mbeberu, maana bado mtamzungushia kibakuli cha misaada, mnamtegemea, yeye hasklizi hizi blah blah za sijui mlipigana Comoro, Kagera sijui wapi huko.


Ulliza Kenyatta,Ruto na Raila wamekula kiasi gani fedha za korona
 
Ulliza Kenyatta,Ruto na Raila wamekula kiasi gani fedha za korona

Hamngelipuka kwa namna hiyo, maana hapo tayari mumeonyesha mna kila sababu za kuhojiwa zaidi, hizo hela mngepiga kimya huko hususan kama ndizo mlitumia kuwanunua wapinzani, hili lingepita tu, sasa mapovu yote hayo ya sijui vita vya Kagera, DRC na wapi huko yatawaponza.
 
Hamngelipuka kwa namna hiyo, maana hapo tayari mumeonyesha mna kila sababu za kuhojiwa zaidi, hizo hela mngepiga kimya huko hususan kama ndizo mlitumia kuwanunua wapinzani, hili lingepita tu, sasa mapovu yote hayo ya sijui vita vya Kagera, DRC na wapi huko yatawaponza.
Tanzania ni nchi ya 28 duniani kwa matumizi mazuri ya kodi.
Shame on you
 
Mbunge mmoja kule Ulaya alihoji vigezo vilivyotumika kuwapa Watanzania msaada wa hela dhidi ya Corona ilhali wao Watanzania walishasema walipona Corona kwa kupitia maombi ya siku tatu.

Dah! Naona Watanzania wamejibu kwa hasira, povu zinawatoka, mishipa imevimba. Hehehehe!

Hapa hii video waziri wao anafyatuka namna walipigana sijui wapi huko, namna majeshi yao hayajawahi kushindwa mara walivyoikomboa Afrika. Mara climate change mara Nyerere sijui alifanya nini yaani anaparamia kila kitu hata sijamuelewa hoja yake haswa ni nini.

Labda ni washauri Watanzania, baada ya mbwembwe zote hizo muandae daftari litakalochanganua namna mlivyotumia hela ya mbeberu, maana bado mtamzungushia kibakuli cha misaada, mnamtegemea, yeye hasklizi hizi blah blah za sijui mlipigana Comoro, Kagera sijui wapi huko.


Vipi corona huko mkuu imeisha? Ya TZ na Mabeberu tuachie sisi wenyewe!
 
Hamngelipuka kwa namna hiyo, maana hapo tayari mumeonyesha mna kila sababu za kuhojiwa zaidi, hizo hela mngepiga kimya huko hususan kama ndizo mlitumia kuwanunua wapinzani, hili lingepita tu, sasa mapovu yote hayo ya sijui vita vya Kagera, DRC na wapi huko yatawaponza.
Sisi siyo wakenya wanaopapatikia wazungu!
 
Halafu naona Zimbabwe imewapiga pini Watanzania, yaani Wabongo mumefikia wa kudharauliwa hadi na hao....

2621780_1606054253583.png
Haw a Zimbabwe wanajuawatz ni kina Nani hawana unafiki ni nchi huru wanauhuru wa kuamua mambo yao
 
Haw a Zimbabwe wanajuawatz ni kina Nani hawana unafiki ni nchi huru wanauhuru wa kuamua mambo yao

Ukitaka kwenda kwao halafu paspoti yako isome Tanzania, lazima upanue mdomo na pua watumbukize kifaa cha kupima.....poleni lakini sijui mliingiaje choo cha kike hadi mnadharauliwa kote hivi, kidiplomasia mumebugi kishenzi.
 
Siyo Watanzania. Ni kikundi kidogo cha kimafia kinaitwa CCM. Kimeshikilia jeshi letu, polisi na intelligence. Wala siyo Watanzania. Watanzania tuko katika maombolezo makubwa kwa mapinduzi ambayo hawa mafia waliyoyafanya tarehe 27 na 28 Okto 2020.
Dah! Naona Watanzania wamejibu kwa hasira, povu zinawatoka, mishipa imevimba. Hehehehe!
 
Hamngelipuka kwa namna hiyo, maana hapo tayari mumeonyesha mna kila sababu za kuhojiwa zaidi, hizo hela mngepiga kimya huko hususan kama ndizo mlitumia kuwanunua wapinzani, hili lingepita tu, sasa mapovu yote hayo ya sijui vita vya Kagera, DRC na wapi huko yatawaponza.

Ndiyo shida ya kutoelewa kiingereza. Hivi kwenye ile video kuna sehemu yule mbunge ameuliza mchanganuo?
Lugha ya beberu kwako ni shida sana. Nimekuona muda mrefu sana. Muombe Tony akutafsirie.
Kwa ufupi, yeye alihoji vigezo vilivyotumika kutoa tarajio la kupewa FEDHA.
 
Sisi siyo wakenya wanaopapatikia wazungu!
Vipi corona huko mkuu imeisha? Ya TZ na Mabeberu tuachie sisi wenyewe!
Ona wanavojibu hoja yako MK254, mwendo ni wa kupanick tu na kukurupuka. Alafu ndio taswira ilivyo, kutoka chini kwa raia hadi juu kwa viongozi. Majirani wamefeli kabisa kidiplomasia na kiushawishi, hawana idea. Mtizame na umskize huyo waziri wao wa kukodoa kodoa mimacho na kufanya 'irrigation' akiongea. Kisha jaribu kumfananisha na waziri mwenzake nchini Kenya Monica Juma au hata aliyemtangulia, Amina Mohammed. Tz kweli ni kichwa cha mwendawazimu. 😀 Nakumbuka mwaka wa 2013 Uhuruto walipogombea urais wakiwa wamefunguliwa mashtaka ICC kule Hague. Hao hao EU kabla ya uchaguzi waliwaeleza wazi wakenya kwamba "choices have consequences". Ila wakajibiwa wazi na confidence kwamba masuala ya ndani ya taifa la Kenya hayawahusu. Uhuruto wakashinda na hizo consequences hatujaziona hadi leo hii.
 
Mazumbukuku ni wakenya ambao mmbrainwashed

Kweli kabisa.
Ona hii
👇🏽👇🏽👇🏽


FEDHA ZA EU ZINAVYOTUANGAMIZA WAKENYA

Tunajua dhahiri kwamba fedha za Umoja wa Ulaya (EU) ndio zinazotusababishia madhila ya kila aina sisi Wakenya.

Serikali yetu imepokea fedha hizo haramu zenye masharti ya kutuangamiza sisi Wakenya.

Baadhi ya masharti hayo ni kama yafuatayo:

1. Serikali lazima itoe takwimu kwamba COVID-19 ipo na waathirika wanaongezeka kila uchao.

2. Serikali lazima itufungie majumbani (lockdown) bila kujali madhara tunayoyapata.

3. Serikali lazima ikubali chanjo za majaribio za ugonjwa wa COVID-19. Serikali yetu imeshakubali na wakati wowote tutageuzwa panya wa maabara. Huu ni ugaidi wa kibaiolojia.

Tunafahamu kwamba COVID-19 ni utekelezaji wa New World Order mpango wa wazungu kutawala Dunia. Wanataka wakitoa amri, lazima itekelezwe.

Ndio maana wazee wetu hapa Kenya waliandika kitabu kisemacho Not Yet Uhuru kuonesha kwamba Kenya bado ipo chini ya wakoloni japokua tumepewa uhuru bandia.
 
Back
Top Bottom