Hivi Watanzania, mbona mumefyatuka namna hii kisa mzungu kahoji mlivyotumia msaada aliyowapa dhidi ya Corona?

Hivi Watanzania, mbona mumefyatuka namna hii kisa mzungu kahoji mlivyotumia msaada aliyowapa dhidi ya Corona?

Hujajibu hoja yangu.Ulichofanya ni kuropoka tu kuonyesha ujinga wako.Jibu hoja yangu.

kuna namna tatu ya kujibu swali au hoja.

swali kwa jibu,swali kwa swali,na swali kwa mfano.

vilaza wote duniani huwa wanapenda majibu ya moja kwa moja.
 
Nioneshe mkenya anayemiliki mashamba kwenye ardhi ya malkia.
Sasa kama serekali ilitangaza kuwa wajitokeze watu wenye sifa hizi na zile ili wamiliki ardhi lakini hakuna mwafrika aliejitokeza badala yake wakajitokeza wazungu kwa wingi ambao wamekidhi vigezo na wakapewa ardhi hizo,kuna shida gani hapo?
 
Kwani mzungu kumiliki ardhi kuna ubaya gani?Hawapaswi kumiliki ardhi kwa sababu tu ya rangi yao?
Baada ya uhuru mabeberu walinyang’anywa ardhi wakapewa wazalendo walime kwa jembe la mkono chini ya mwamvuli wa ujamaa. Hatukujua thamani ya ardhi mpaka gabacholi alipoenda kuichukulia mkopo benki Ulaya.
 
kuna namna tatu ya kujibu swali au hoja.

swali kwa jibu,swali kwa swali,na swali kwa mfano.

vilaza wote duniani huwa wanapenda majibu ya moja kwa moja.
Katika hizo namna tatu za kujibu hoja mbona hujaweka mambo ya kuropoka?Unaelewa kuwa uliropoka?
 
Baada ya uhuru mabeberu walinyang’anywa ardhi wakapewa wazalendo walime kwa jembe la mkono chini ya mwamvuli wa ujamaa. Hatukujua thamani ya ardhi mpaka gabacholi alipoenda kuichukulia mkopo benki Ulaya.
Taifa linahitaji economic growth kupitia kilimo halafu serekali ikatangaza kuwa watu wenye sifa fulani kama vile labda mitaji,ujuzi na nyinginezo wajitokeze ili wamiliki ardhi halafu waafrika wakakosa hizo sifa na wazungu wakakidhi hivo vigezo na wakajitokeza kwa wingi na kumiliki ardhi,sasa hapo kuna ubaya gani au wa kulaumiwa ni nani?
 
Taifa linahitaji economic growth kupitia kilimo halafu serekali ikatangaza kuwa watu wenye sifa fulani kama vile mitaji na ujuzi wajitokeze ili wamiliki ardhi halafu waafrika wakakosa hizo sifa na wazungu wakakidhi hivo vigezo wakajitokeza kwa wingi na kumiliki ardhi,sasa hapo kuna ubaya gani au wa kulaumiwa ni nani?
Wakati wazungu wanamiliki ardhi Zimbabwe, nchi ilikua inazalisha mahindi ya kutosha kulisha Afrika nzima. Industrial farming inahitaji investment si kwa matrekta tu bali elimu, na vifaa mbali mbali.
 
Wakati wazungu wanamiliki ardhi Zimbabwe, nchi ilikua inazalisha mahindi ya kutosha kulisha Afrika nzima. Industrial farming inahitaji investment si kwa matrekta tu bali elimu, na vifaa mbali mbali.
Sasa hawa vijana hapa Tanzania(MATAGA) wanataka waafrika ambao hawana sifa wamilikishwe ardhi kwa wingi halafu wakalie ardhi hizo bila ya kuziendeleza wakati nchi inahitaji maendeleo kupitia sector ya kilimo.Hii ndiyo wao huwa wanaita ni uzalendo!
 
Sasa hawa vijana hapa Tanzania(MATAGA) wanataka waafrika ambao hawana sifa wamilikishwe ardhi kwa wingi halafu wakalie ardhi hizo bila ya kuziendeleza wakati nchi inahitaji maendeleo kupitia sector ya kilimo.Hii ndiyo wao huwa wanaita ni uzalendo!
Tunahitaji ajira kwa vijana, uhakika wa chakula, watu walipe kodi.
 
Sasa kama serekali ilitangaza kuwa wajitokeze watu wenye sifa hizi na zile ili wamiliki ardhi lakini hakuna mwafrika aliejitokeza badala yake wakajitokeza wazungu kwa wingi ambao wamekidhi vigezo na wakapewa ardhi hizo,kuna shida gani hapo?

Bwana mdogo kaa chini hujui unachoongea.
Wewe unaweza kuniambia lini, wapi na jinsi gani Kenya ilitangaza watu waende kununua ardhi. Wewe hujawahi sikia, wakenya wanalia kwa kitu ambacho wanakiita historical Injustice!!? Wachache, jamii fulani hivi wanamiliki ardhi kubwa, huku wengi wakiwa hawana kitu.

Bwana mdogo, I insist, siku nyingine usianze kujadili vitu ambavyo viko nje ya uelewa wako. Ukome kuanzia sasa.
 
Bwana mdogo kaa chini hujui unachoongea.
Wewe unaweza kuniambia lini, wapi na jinsi gani Kenya ilitangaza watu waende kununua ardhi. Wewe hujawahi sikia, wakenya wanalia kwa kitu ambacho wanakiita historical Injustice!!? Wachache, jamii fulani hivi wanamiliki ardhi kubwa, huku wengi wakiwa hawana kitu.

Bwana mdogo, I insist, siku nyingine usianze kujadili vitu ambavyo viko nje ya uelewa wako. Ukome kuanzia sasa.
Mihemko yote hii ya nini?Unafikiri kuandika kwa mihemko na kwa mikwara kibao ndiyo itakupa ushindi katika hoja?Unajua kusoma kwa uelewa?Unaelewa kuwa unapozungumzia masuala ya umiliki wa ardhi maana yake unazungumzia masuala ya uwezo katika mitaji,ujuzi,vifaa,e.t.c?

Ni mwafrika gani ambae alikuwa na mitaji,ujuzi,vifaa,e t.c kisha akanyimwa ardhi na ardhi hiyo akapewa mzungu?Halafu naona umehamisha mada kutoka katika masuala ya wazungu kumiliki ardhi mpaka kwenye masuala ya jamii fulani za kiafrika kumiliki ardhi peke yao!Hiyo ndiyo ilikuwa mada yetu?Umeanza kujifunza kuraka kimanga lini?
 
Halafu naona Zimbabwe imewapiga pini Watanzania, yaani Wabongo mumefikia wa kudharauliwa hadi na hao....

2621780_1606054253583.png
Is Zimbabwe a member of SADC? Or did they withdraw membership? 😂 😂
Nasikia Tanganyika wanaheshimiwa sana kule SADC. Kunani? 😂 😂 😂
 
Mihemko yote hii ya nini?Unafikiri kuandika kwa mihemko na kwa mikwara kibao ndiyo itakupa ushindi katika hoja?Unajua kusoma kwa uelewa?Unaelewa kuwa unapozungumzia masuala ya umiliki wa ardhi maana yake unazungumzia masuala ya uwezo katika mitaji,ujuzi,vifaa,e.t.c?

Ni mwafrika gani ambae alikuwa na mitaji,ujuzi,vifaa,e t.c kisha akanyimwa ardhi na ardhi hiyo akapewa mzungu?Halafu naona umehamisha mada kutoka katika masuala ya wazungu kumiliki ardhi mpaka kwenye masuala ya jamii fulani za kiafrika kumiliki ardhi peke yao!Hiyo ndiyo ilikuwa mada yetu?Umeanza kujifunza kuraka kimanga lini

Teh teh tihii sorry.
Issue ya land kwa Kenya ni tofauti na unavyojua wewe. Kule problem is not land adjudication, but land redistribution.
Naomba tuishie hapa, maana issue ya ardhi ya Kenya ni complex, unless you have some historical and legal clues.
 
They have the right to do that, because Zimbabwe is a sovereign state. They can even refrain us from entering into their country.
Mkijua hilo mbona misifa misifa za sadc wakati nyinyi hata hamjui ilianzishwaje! Mnasahau nyinyi ni waalikwa tu?!
 
Back
Top Bottom