Hivi Watanzania, mbona mumefyatuka namna hii kisa mzungu kahoji mlivyotumia msaada aliyowapa dhidi ya Corona?

Mtizame na umskize huyo waziri wao wa kukodoa kodoa mimacho na kufanya 'irrigation' akiongea. Kisha jaribu kumfananisha na waziri mwenzake nchini Kenya Monica Juma au hata aliyemtangulia, Amina Mohammed.
Wewe hujui hata mambo yanayoendelea nchini mwako? Monica Juma siyo tena waziri wa mambo ya nje, sasa ni waziri wa ulinzi.
 
Ukipewa pesa, umepewa..Hizo hadithi zingine za kupangiwa utakavyo tumia wapeleke vijiweni kwao
 
Wewe hujui hata mambo yanayoendelea nchini mwako? Monica Juma siyo tena waziri wa mambo ya nje, sasa ni waziri wa ulinzi.
Waziri kwa sasa ni Ambassador Raychele Omamo, sijamtaja kwasababu bado hatujamuona 'in action'. Ila nakuhakikishia kwamba hata yeye pia kwenye masuala ya kidiplomasia huwezi ukamfananisha na hilo jitu lenu la ajabu ajabu, sijui Kabudi. Amb. Omamo amekuwa balozi wa Kenya nchini France, Portugal, Vatican, Serbia na UNESCO pia. Aliyemtangulia, Ambassador Monica Juma, alikuwa balozi wa Kenya nchini Ethiopia, Djibouti, kwenye shirika la IGAD na UNECO. Amb. Amina Mohammed waziri wa hapo awali aliongoza mashirika ya kimataifa kama IOM, WTO na UNEP, kwenye nyathfa mbali mbali. Kwa ufupi uteuzi wa nafasi nyeti kama hizo huwa unafanywa kitaaluma zaidi. Maanake walioteuliwa na rais lazima wafanyiwe usaili kwanza kwenye bunge zote mbili. Sio mtu anateuliwa tu ovyo ovyo na rais wakati hata masuala msingi kama 'presentation' ni kizungumkuti kwake.
 

Tatizo baada ya kufyatuka kote huku, lazima wataandaa jedwali la mchanganuo wa walivyotumia hizo hela na kuwatumia hao hao mabeberu, maana mwisho wa siku watazungusha kibakuli cha msaada. Ni aibu sana, mbunge kahoji tu simple, jamaa wamefyatuka Kagera na Nyerere, DRC, Comoros sijui wapi yaani.
 
Halafu naona Zimbabwe imewapiga pini Watanzania, yaani Wabongo mumefikia wa kudharauliwa hadi na hao....

Wacha tuone kama watafunga border na Zimbabwe kama walivyofanyia Kenya. Border hio wataitafuta waikose.
 
Wacha tuone kama watafunga border na Zimbabwe kama walivyofanyia Kenya. Border hio wataitafuta waikose.

Huko hawatang'aka sana kama namna wao hufanya tukiwfungia, maana sisi ndio uti wao wa mgongo......
 
Mnamchukia Prof Nabudi kwa sababu Uhuru Kenyatta alimuomba kuja kuwapa lecture juu ya BBI na ukabila wenu au sio, si unakumbuka siku ile aliongea bila kupepesa macho ndani ya bunge lenu, sasa unategemea ndio ashindwe kuwajibu hao vilaza wachache wa bunge ka EU.

Punguzeni kuogopa ngozi nyeupe enyi waKenya.
 

Kumbuka baada ya mihemko yote hiyo, lazima mtolee taarifa za kuelewwka namna mlitumia hela yao, wale hawatishiwi nyau, hehehe eti sijui mlipigana Comoros.
 

Jedwali, la hela ipi?
Hiyo hela haijawa disbursed bali ni commitment tu.
Uwege unaelewa kiingereza. Hizo financing za kimataifa haziendi kama wewe unavyofanya biashara yako na wale jamaa zako wa yombo dovya na yombo buza ambao ukileta sabuni, wanakupa hela hapo hapo.
 
Shida Ni kuwa ukahangaika na ya Tanzania unayaacha ya Kenya
 
Shida Ni kuwa ukahangaika na ya Tanzania unayaacha ya Kenya

Mkiacha vioja tutaacha kuwafuatilia, mumetumia hela za watu kununua wapinzani, halafu mkihojiwa mnafyatuka eti nyie ni wababe wa vita vya Kagera, mjiandae kuandika mchanganuo wote wa namna mlizitumia.
 
Sasa mbona nyie mmepewa hela za Corona na viongozi wenu wamekula mbona HAMUWAHOJI?
Mkiacha vioja tutaacha kuwafuatilia, mumetumia hela za watu kununua wapinzani, halafu mkihojiwa mnafyatuka eti nyie ni wababe wa vita vya Kagera, mjiandae kuandika mchanganuo wote wa namna mlizitumia.
 
Nadhani hyo sentence yako ya mwisho umemjibu vzr mk254.
 
Sawa mkenya, nyie ni waerevu sana. Mpaka mnawapa wazungu na waAfrika wachache ardhi yote. Halafu nyie mnabaki kama wapagazi kwenye nchi yenu.
Ishu ni kugawa ardhi au ishu ni kumpa mzungu ardhi?Ipi ndiyo Agenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…