Wewe hujui hata mambo yanayoendelea nchini mwako? Monica Juma siyo tena waziri wa mambo ya nje, sasa ni waziri wa ulinzi.Mtizame na umskize huyo waziri wao wa kukodoa kodoa mimacho na kufanya 'irrigation' akiongea. Kisha jaribu kumfananisha na waziri mwenzake nchini Kenya Monica Juma au hata aliyemtangulia, Amina Mohammed.
Ukipewa pesa, umepewa..Hizo hadithi zingine za kupangiwa utakavyo tumia wapeleke vijiweni kwaoOna wanavojibu hoja yako MK254, mwendo ni wa kupanick tu na kukurupuka. Alafu ndio taswira ilivyo, kutoka chini kwa raia hadi juu kwa viongozi. Majirani wamefeli kabisa kidiplomasia na kiushawishi, hawana idea. Mtizame na umskize huyo waziri wao wa kukodoa kodoa mimacho na kufanya 'irrigation' akiongea. Kisha jaribu kumfananisha na waziri mwenzake nchini Kenya Monica Juma au hata aliyemtangulia, Amina Mohammed. Tz kweli ni kichwa cha mwendawazimu. 😀 Nakumbuka mwaka wa 2013 Uhuruto walipogombea urais wakiwa wamefunguliwa mashtaka ICC kule Hague. Hao hao EU kabla ya uchaguzi waliwaeleza wazi wakenya kwamba "choices have consequences". Ila wakajibiwa wazi na confidence kwamba masuala ya ndani ya taifa la Kenya hayawahusu. Uhuruto wakashinda na hizo consequences hatujaziona hadi leo hii.
Waziri kwa sasa ni Ambassador Raychele Omamo, sijamtaja kwasababu bado hatujamuona 'in action'. Ila nakuhakikishia kwamba hata yeye pia kwenye masuala ya kidiplomasia huwezi ukamfananisha na hilo jitu lenu la ajabu ajabu, sijui Kabudi. Amb. Omamo amekuwa balozi wa Kenya nchini France, Portugal, Vatican, Serbia na UNESCO pia. Aliyemtangulia, Ambassador Monica Juma, alikuwa balozi wa Kenya nchini Ethiopia, Djibouti, kwenye shirika la IGAD na UNECO. Amb. Amina Mohammed waziri wa hapo awali aliongoza mashirika ya kimataifa kama IOM, WTO na UNEP, kwenye nyathfa mbali mbali. Kwa ufupi uteuzi wa nafasi nyeti kama hizo huwa unafanywa kitaaluma zaidi. Maanake walioteuliwa na rais lazima wafanyiwe usaili kwanza kwenye bunge zote mbili. Sio mtu anateuliwa tu ovyo ovyo na rais wakati hata masuala msingi kama 'presentation' ni kizungumkuti kwake.Wewe hujui hata mambo yanayoendelea nchini mwako? Monica Juma siyo tena waziri wa mambo ya nje, sasa ni waziri wa ulinzi.
Ona wanavojibu hoja yako MK254, mwendo ni wa kupanick tu na kukurupuka. Alafu ndio taswira ilivyo, kutoka chini kwa raia hadi juu kwa viongozi. Majirani wamefeli kabisa kidiplomasia na kiushawishi, hawana idea. Mtizame na umskize huyo waziri wao wa kukodoa kodoa mimacho na kufanya 'irrigation' akiongea. Kisha jaribu kumfananisha na waziri mwenzake nchini Kenya Monica Juma au hata aliyemtangulia, Amina Mohammed. Tz kweli ni kichwa cha mwendawazimu. 😀 Nakumbuka mwaka wa 2013 Uhuruto walipogombea urais wakiwa wamefunguliwa mashtaka ICC kule Hague. Hao hao EU kabla ya uchaguzi waliwaeleza wazi wakenya kwamba "choices have consequences". Ila wakajibiwa wazi na confidence kwamba masuala ya ndani ya taifa la Kenya hayawahusu. Uhuruto wakashinda na hizo consequences hatujaziona hadi leo hii.
Wacha tuone kama watafunga border na Zimbabwe kama walivyofanyia Kenya. Border hio wataitafuta waikose.Halafu naona Zimbabwe imewapiga pini Watanzania, yaani Wabongo mumefikia wa kudharauliwa hadi na hao....
Mnamchukia Prof Nabudi kwa sababu Uhuru Kenyatta alimuomba kuja kuwapa lecture juu ya BBI na ukabila wenu au sio, si unakumbuka siku ile aliongea bila kupepesa macho ndani ya bunge lenu, sasa unategemea ndio ashindwe kuwajibu hao vilaza wachache wa bunge ka EU.Tatizo baada ya kufyatuka kote huku, lazima wataandaa jedwali la mchanganuo wa walivyotumia hizo hela na kuwatumia hao hao mabeberu, maana mwisho wa siku watazungusha kibakuli cha msaada. Ni aibu sana, mbunge kahoji tu simple, jamaa wamefyatuka Kagera na Nyerere, DRC, Comoros sijui wapi yaani.
Mnamchukia Prof Nabudi kwa sababu Uhuru Kenyatta alimuomba kuja kuwapa lecture juu ya BBI na ukabila wenu au sio, si unakumbuka siku ile aliongea bila kupepesa macho ndani ya bunge lenu, sasa unategemea ndio ashindwe kuwajibu hao vilaza wachache wa bunge ka EU.
Punguzeni kuogopa ngozi nyeupe enyi waKenya.
Tatizo baada ya kufyatuka kote huku, lazima wataandaa jedwali la mchanganuo wa walivyotumia hizo hela na kuwatumia hao hao mabeberu, maana mwisho wa siku watazungusha kibakuli cha msaada. Ni aibu sana, mbunge kahoji tu simple, jamaa wamefyatuka Kagera na Nyerere, DRC, Comoros sijui wapi yaani.
Shida Ni kuwa ukahangaika na ya Tanzania unayaacha ya Kenya
Mkiacha vioja tutaacha kuwafuatilia, mumetumia hela za watu kununua wapinzani, halafu mkihojiwa mnafyatuka eti nyie ni wababe wa vita vya Kagera, mjiandae kuandika mchanganuo wote wa namna mlizitumia.
Nadhani hyo sentence yako ya mwisho umemjibu vzr mk254.Ona wanavojibu hoja yako MK254, mwendo ni wa kupanick tu na kukurupuka. Alafu ndio taswira ilivyo, kutoka chini kwa raia hadi juu kwa viongozi. Majirani wamefeli kabisa kidiplomasia na kiushawishi, hawana idea. Mtizame na umskize huyo waziri wao wa kukodoa kodoa mimacho na kufanya 'irrigation' akiongea. Kisha jaribu kumfananisha na waziri mwenzake nchini Kenya Monica Juma au hata aliyemtangulia, Amina Mohammed. Tz kweli ni kichwa cha mwendawazimu. 😀 Nakumbuka mwaka wa 2013 Uhuruto walipogombea urais wakiwa wamefunguliwa mashtaka ICC kule Hague. Hao hao EU kabla ya uchaguzi waliwaeleza wazi wakenya kwamba "choices have consequences". Ila wakajibiwa wazi na confidence kwamba masuala ya ndani ya taifa la Kenya hayawahusu. Uhuruto wakashinda na hizo consequences hatujaziona hadi leo hii.
Watanzania ni mazumbukuku!
Ishu ni kugawa ardhi au ishu ni kumpa mzungu ardhi?Ipi ndiyo Agenda?Sawa mkenya, nyie ni waerevu sana. Mpaka mnawapa wazungu na waAfrika wachache ardhi yote. Halafu nyie mnabaki kama wapagazi kwenye nchi yenu.
Ishu ni kugawa ardhi au ishu ni kumpa mzungu ardhi?Ipi ndiyo Agenda?
Kwani mzungu kumiliki ardhi kuna ubaya gani?Hawapaswi kumiliki ardhi kwa sababu tu ya rangi yao?Sijakuelewa, lkn mmiliki ni mzungu in perpetuity.
Kwani mzungu kumiliki ardhi kuna ubaya gani?Hawapaswi kumiliki ardhi kwa sababu tu ya rangi yao?
Hujajibu hoja yangu.Ulichofanya ni kuropoka tu kuonyesha ujinga wako.Jibu hoja yangu.ardhi sio pua au matako.
Kwani mzungu kumiliki ardhi kuna ubaya gani?Hawapaswi kumiliki ardhi kwa sababu tu ya rangi yao?