Hivi watu wanaanzaje kuifananisha Prison Break na Money Heist?

Hivi watu wanaanzaje kuifananisha Prison Break na Money Heist?

Ukisoma comments za wapwaa humu huwezi amini kama ni raia wa nchi ambayo film industry inapumulia mirija.

Yaani kila mmoja anaonesha ujuaji wa hali ya juu
[emoji4][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mzee umeshuka fresh ila kumbuka, hawa jamaa wanaobisha yani wanaona Professor ndio katumia akili nyingi zaidi..

Ukiangalia Professor akili yake inawategemea watu wengi zaidi, pia kuna muda anashindwa kufanya maamuzi mpaka sometimes mambo yanaenda tofauti.

Lakini yule bwana Michael matukio mengi anaefanya maamuzi ni yeye mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Halafu Michael hajawahi toka out of plans kipuuzi kama profesa alivyo tolewa na chupi ya inspector
 
Akili za Michael wakat anamuacha teabag na yule nigga sona sio za kawaida
Michael anajua chemistry, just imagine toothpastes anatumia kwenye pans
Vipi sasa kwenye physics anatoa nondo ukutani kwa kutumia tism
Bomu alilotaka kumuulia mama yake

Eti mtu msumbufu heist ni yule kibonge wa benki sijui ndio Arturo
Mtu anadeal na akina teabag
Mafia kama John
Na Mr "do you feel me?"

Profesa akiona plan imeyumba tu wenge kama lote. Mara aheme. Sfield sasa, unaona wakati anagundua kuwa Mahone sio mtu wa kawaida, pale pale akaanza kuwaza kwanini Mahone amewaza kama yeye, akajua jinsi ya kudeal na Mahone.

Watajitahidi sana lakini break ni zaidi heist.
 
Moto wa PB haugusiki wazee... Matukio ya michael scofield yalikuwa well arranged na ye ndo organizer mkuu...
Mf;
~kwenye s1, katika hali ya kawaida ilikuwa ni ngumu kuamini kuwa jamaa angemtumia pope kiasi cha kuruhusu bro ake aachiwe

~s2 licha ya kutokufanya ubaya wa kusema ni mwenye hatia lakini alienda kutubu dhambi zake baada ya kuiba ile compas

~s3 pale sona wakati wanatoroka, wakina Bellick, T-Bag na yule kiongozi wao wakang'ang'ania kuwa wa kwanza kutoka, naye akawaruhusu... kumbe wao walikuwa chambo bana, hahaha! nilipapenda sana hapa "and this is a plan" wakati mwanzo aliwaambia umeme utakata sekunde 30 na ndo inabid watumie hizo kusepa... alijua wenye kiherehere watapatikana tu

~s4 kwny kuiba cylla, card ya general alijua lazima itajileta tu, na general akabaki anamshangaa kapata wapi kadi nyingine 5?

~s5 poseidon hakuamin mchezo aliofanyiwa na scofield, kachora macho mikononi km passcode, kamfanyia flaming ya tukio alilofanyiwaga na mwisho kapropose awekwe chumba kimoja na t-bag kule gerezan

Unakumbuka wenge la akina Mahone kwenye lile shimo wakati wa kutoroka. Afu jamaa calmly kabisa "this is the plan".
 
..Kellerman. Jamaa alikuwa kauzu sana mwanzoni, kuua yeye haoni shida.

Baadae alivyokuja kubadilika, dah! Nikamkubali, japokuwa Sara muda wote alikuwa hamuamini mpaka anakufa.
View attachment 1447756

Sent using Jamii Forums mobile app

Jamaa ni trained hitman. Kama ulimuona alivyo muua yule mzee. Kwa mtu wa kawaida huwezi kuona kama yule mzee alitaka kupiga risasi lakini kwa kalemam alijuta.
 
Mimi si mpenzi wa series. Lakini, kuna manzi akawa ananisumbua sijui n'takuja na series kali uione. Nimeicheki mpaka season 2 na kidogo season 3..nikamwambia haijanishawishi kuna makosa mengi. Nikamwambia siwezi kuendelea kuitazama.
 
Mimi si mpenzi wa series. Lakini, kuna manzi akawa ananisumbua sijui n'takuja na series kali uione. Nimeicheki mpaka season 2 na kidogo season 3..nikamwambia haijanishawishi kuna makosa mengi. Nikamwambia siwezi kuendelea kuitazama.
Kwenye upande wa series mademu ni watu wa kufuata mkumbo..

Kwakuwa kaona kipindi hiki money heist imetangazwa sana kutokana na maendeleo ya utandawazi tofauti na kipindi kile cha PB basi ndo anaona ni bora.

Au unakuta kasikia tu kwa mashoga zake ni nzuri basi na yeye ndio humo humo..

Ukija kumuuliza ipi kali ni lazima atataja aliyoangalia.
 
Series la kiboya sana nilitazama season 1 tena kwa kuvumilia tu series ya kidwanzi sana.
Siku hizi series nzuri ni adimu bora tu interim hata the queen of the south japo nayo haijakithi viwango
Queen of the south kadri inavyoendelea ndio inazidi kuisha utamu.
Nimeona niachane nayo, mnaoendelea endeleeni tu.
 
The heist ni series ya kitoto sana. Ambayo sisi watu wazima tunapoiangalia tunapata mashaka na umakini wa waandaji.ya kitoto ina makosa mengi na wame irefusha bila sababu kabisa.mimi nliangalia se01 nikaamini basi angalau wangemwliza s02 maana hakukuwa na jipya nkashangaa wakaiendeleza kipuuzi kabisa.haina suspense imepoa na ni very poor.

Hivi unaanzaje kwa mfano!!

Yaani Messi umfananishe na Kichuya kweli?! Haiingii akilini!

Niseme tu, mimi ni mmoja kati ya watu tulioangalia series hizo zote 2 na sioni kama ubora ama uzuri wa The Heist unaweza kuupita ule wa Prison Break

Nilichogundua ni kwamba watu wengi wanaosifia The Heist wameanza kufuatilia series kipindi hiki hiyo series ilipotoka na hawajawahi kuangalia Prison Break kabisa. Labda wamesikia tu juu juu kwamba yule mwamba Scorfield mule ndani katumia akili, lakini hawajui alikuwa anafanya nini.

Halafu mtu kama huyo anabishana kwa kulinganisha. Ukimwambia ataje wahusika wa5 wa Prison Break kama kweli kaiona, hawajui!

Siwezi kusema The Heist sio nzuri, ila ni ya kawaida sana na ina mapungufu mengi.

Mifano iko mingi tu ila fikiria huu mmoja.. Hebu jiulize tangu wale watu wafungiwe ndani ya ile benki, umeona wamekula mara ngapi? Mimi kwa upande wangu nakumbuka ni mara moja tu kwenye hii Season ya 4. Kwa sababu chakula ni lazima kitoke nje ya benki.. Kwahiyo mpaka hapo tu wameshindwa kutuwekea uhalisia.

Halafu watu wanaenda mbali zaidi, eti wanamfananisha Scorfield na Professor. Kwamba Professor katumia akili nyingi zaidi.

Niwaambie tu, wale mlioangalia The heist peke yake kisha mkaamua kuja kuwasumbua wadau, tunawaona kama ni Amateurs.. Hamjui kitu!

Eti kuna kidemu nacho kiliniomba nikiwekee The Heist kwenye PC yake wiki chache zilizopita, kashaangalia eti katuma picha kwenye group la Whatsapp ya Professor na Michael ili watu wabishane na yeye anachangia kabisa!

Acheni utani nyie.. Hivi The Heist inaweza kuingia hata kidogo miziki ya 24 au Homeland?

Bado kuna mijitu itakaza vichwa!!

View attachment 1446911View attachment 1446956View attachment 1446957View attachment 1446959View attachment 1446963View attachment 1446965View attachment 1446966

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom