Hivi watu wanaanzaje kuifananisha Prison Break na Money Heist?

Hivi watu wanaanzaje kuifananisha Prison Break na Money Heist?

Hiyo money heist haiingii hata kwa mzee mzima Raymond Reddington, huwez ilinganisha na PB.
Kuna raia hapa kashaiangalia PB mara saba na anasema haifuti.
Money heist wametumia nguvu nyingi sana kushughulika na jambo dogo. Ingekuwa plan ya Michael scofield, yeye angeondoka na mtambo wa kuchapisha hela siku hiyo hiyo na sio kuchapisha hela humo ndani siku zote zile na kuondoka nazo, wanazidiwa hata na shaur Khan kwenye don 2 aliyeondoka na plate za kuchapisha hela kule uswisi.
Michael scofield kuna wakati hajiandai, anaadapt to mazingira maisha yanaenda. Mfano sona, hakuingia na plan, plan iliianza akiwa humo ndani. Professor plan ikiyumba tu pressure inamuua anakimbilia punching bag.
Money heist professor tu ndo anaakili mingi anaburuza wenzake, prison break kotekote akili mingi, t bag, mahone, barric, kallerman, mpaka wale hit men wa general wote shughuli yao sio ndogo.
Wakina scofield wameenda kumng'oa mpaka rais,
Jaribu kumgusa rais uone moto wake , jack bauer kwenye 24 na homeland s7 wameonyesha vizuri, wanawazoa wote.
Sijaona bado shirika la ujasusi wakifanya ujasusi kumtafuta professor kama alivuotafutwa scofield.
Ni vile tu hii vita ni ya vijana wa leo, wakijaribu kukumbushwa kuwa hakuja jipya wanaloona, yalikuwepo mazuri zaidi.
PB kama PB msijaribu kuifananisha na vitu ya kijinga!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo money heist haiingii hata kwa mzee mzima Raymond Reddington, huwez ilinganisha na PB.
Kuna raia hapa kashaiangalia PB mara saba na anasema haifuti.
Money heist wametumia nguvu nyingi sana kushughulika na jambo dogo. Ingekuwa plan ya Michael scofield, yeye angeondoka na mtambo wa kuchapisha hela siku hiyo hiyo na sio kuchapisha hela humo ndani siku zote zile na kuondoka nazo, wanazidiwa hata na shaur Khan kwenye don 2 aliyeondoka na plate za kuchapisha hela kule uswisi.
Michael scofield kuna wakati hajiandai, anaadapt to mazingira maisha yanaenda. Mfano sona, hakuingia na plan, plan iliianza akiwa humo ndani. Professor plan ikiyumba tu pressure inamuua anakimbilia punching bag.
Money heist professor tu ndo anaakili mingi anaburuza wenzake, prison break kotekote akili mingi, t bag, mahone, barric, kallerman, mpaka wale hit men wa general wote shughuli yao sio ndogo.
Wakina scofield wameenda kumng'oa mpaka rais,
Jaribu kumgusa rais uone moto wake , jack bauer kwenye 24 na homeland s7 wameonyesha vizuri, wanawazoa wote.
Sijaona bado shirika la ujasusi wakifanya ujasusi kumtafuta professor kama alivuotafutwa scofield.
Ni vile tu hii vita ni ya vijana wa leo, wakijaribu kukumbushwa kuwa hakuja jipya wanaloona, yalikuwepo mazuri zaidi.
PB kama PB msijaribu kuifananisha na vitu ya kijinga!!

Sent using Jamii Forums mobile app
You kill it bro!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Captivity of Negativity
Teabag.gif
 
Very good analysis.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye MH pia wababe wapo,kuna zile njemba zilzokua zinafanya matukio ya kurescue nje ya benk nk

kumuokoa tokyo wakati wa safari

kumuokoa proff

kumuokoa Lisbon

nje kulikua na watu wa kazi kinoma noma....halafu majitu ya kazi ndani mule yalikua akili visoda,mfano lile bwege oslo liliulizwa kama lilifuta fingerprint kwenye gari linasema ndio,halafu linaulizwa fingerprint ni nini hata halijui ni nini...kumbe limekula hela.

MH wamecheza zaidi kwa kutumia saikolojia ya uhalifu,sheria n.k

money heist nayo ni kali sana tu,tatizo watu wengi wanajifanya wajuaji....eti aliangalia akafuta,ili naye aonekane ndio aliiieleeeeewwwaaa PB,kila kitu mkumbo,kama mbaya mbona mmeangalia hadi season ya mwisho,si mngeachia njiani



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaanzaje kwa mfano!!

Yaani Messi umfananishe na Kichuya kweli?! Haiingii akilini!

Niseme tu, mimi ni mmoja kati ya watu tulioangalia series hizo zote 2 na sioni kama ubora ama uzuri wa The Heist unaweza kuupita ule wa Prison Break

Nilichogundua ni kwamba watu wengi wanaosifia The Heist wameanza kufuatilia series kipindi hiki hiyo series ilipotoka na hawajawahi kuangalia Prison Break kabisa. Labda wamesikia tu juu juu kwamba yule mwamba Scorfield mule ndani katumia akili, lakini hawajui alikuwa anafanya nini.

Halafu mtu kama huyo anabishana kwa kulinganisha. Ukimwambia ataje wahusika wa5 wa Prison Break kama kweli kaiona, hawajui!

Siwezi kusema The Heist sio nzuri, ila ni ya kawaida sana na ina mapungufu mengi.

Mifano iko mingi tu ila fikiria huu mmoja.. Hebu jiulize tangu wale watu wafungiwe ndani ya ile benki, umeona wamekula mara ngapi? Mimi kwa upande wangu nakumbuka ni mara moja tu kwenye hii Season ya 4. Kwa sababu chakula ni lazima kitoke nje ya benki.. Kwahiyo mpaka hapo tu wameshindwa kutuwekea uhalisia.

Halafu watu wanaenda mbali zaidi, eti wanamfananisha Scorfield na Professor. Kwamba Professor katumia akili nyingi zaidi.

Niwaambie tu, wale mlioangalia The heist peke yake kisha mkaamua kuja kuwasumbua wadau, tunawaona kama ni Amateurs.. Hamjui kitu!

Eti kuna kidemu nacho kiliniomba nikiwekee The Heist kwenye PC yake wiki chache zilizopita, kashaangalia eti katuma picha kwenye group la Whatsapp ya Professor na Michael ili watu wabishane na yeye anachangia kabisa!

Acheni utani nyie.. Hivi The Heist inaweza kuingia hata kidogo miziki ya 24 au Homeland?

Bado kuna mijitu itakaza vichwa!!

View attachment 1446911View attachment 1446956View attachment 1446957View attachment 1446959View attachment 1446963View attachment 1446965View attachment 1446966

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaifananisha preson break na utopolo
 
..Kellerman. Jamaa alikuwa kauzu sana mwanzoni, kuua yeye haoni shida.

Baadae alivyokuja kubadilika, dah! Nikamkubali, japokuwa Sara muda wote alikuwa hamuamini mpaka anakufa.
View attachment 1447756

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanajua kuvaa uhusika mzee,huyu jamaa ni hatari.

Nilitamani baadae aje na yeye aingie gerezani tuone songombingo lake kama mjomba mahone akili kubwa.

Sasa eti hawa watu uwafananishe ni vitoto kina rio, dah...hawa jamaa wanadharau sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo money heist haiingii hata kwa mzee mzima Raymond Reddington, huwez ilinganisha na PB.
Kuna raia hapa kashaiangalia PB mara saba na anasema haifuti.
Money heist wametumia nguvu nyingi sana kushughulika na jambo dogo. Ingekuwa plan ya Michael scofield, yeye angeondoka na mtambo wa kuchapisha hela siku hiyo hiyo na sio kuchapisha hela humo ndani siku zote zile na kuondoka nazo, wanazidiwa hata na shaur Khan kwenye don 2 aliyeondoka na plate za kuchapisha hela kule uswisi.
Michael scofield kuna wakati hajiandai, anaadapt to mazingira maisha yanaenda. Mfano sona, hakuingia na plan, plan iliianza akiwa humo ndani. Professor plan ikiyumba tu pressure inamuua anakimbilia punching bag.
Money heist professor tu ndo anaakili mingi anaburuza wenzake, prison break kotekote akili mingi, t bag, mahone, barric, kallerman, mpaka wale hit men wa general wote shughuli yao sio ndogo.
Wakina scofield wameenda kumng'oa mpaka rais,
Jaribu kumgusa rais uone moto wake , jack bauer kwenye 24 na homeland s7 wameonyesha vizuri, wanawazoa wote.
Sijaona bado shirika la ujasusi wakifanya ujasusi kumtafuta professor kama alivuotafutwa scofield.
Ni vile tu hii vita ni ya vijana wa leo, wakijaribu kukumbushwa kuwa hakuja jipya wanaloona, yalikuwepo mazuri zaidi.
PB kama PB msijaribu kuifananisha na vitu ya kijinga!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Scofield aliuelewa mziki wa A.Mahone maana kila alipokua akienda Scofield lazima Mahone aibuke hayo maeneo.
 
Back
Top Bottom