Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
-
- #41
Tanzania inaelekea shimoni mwa HaitiHiyo South Korea walipigana vita wenyewe kwa wenyewe kwa muda wa miaka 3. Una jua nini kilitokea baina yao baada ya hiyo miaka 3 ya vita, maana yake walirudi kukaa chini na waka amua kuwa serious tujenge nchi sasa.
Sipendi vita na wala sitabiri vita ila Tanzania tunako elekea tuta anza chapana wenyewe kwa wenyewe ili akili ikae sawa.
Kila aina ya rasilimali ila ona umasikini tulionao.
Kwamba Nyani waliochangamka??Mtu mweusi ni kama ana laana hivi, mfano juzi waziri anaulizwa hali ya uchumi anasema mambo ni shwari kwa sababu kila akitembea njiani anaona gari namba E pia watu wananchangia sana michango ya harusi, sasa kama hiyo ni akili ya mtu aliyepewa wadhifa wa kusimamia uchumi wa watu takribani milioni 60 na ni msomi wa kiwango cha Phd hao walio ishia kidato cha nne watakua na fikira gani??!! kuna maana nyingine ya laana zaidi ya hii kweli??????
Mimi binafsi ningezaliwa ngozi nyeupe ningejitenga na kuwabagua watu weusi kwa sababu inaonekana bado hawajamaliza process ya evolution na kuwa binadamu kamili
Duu[emoji15][emoji15][emoji15] kuuziana uchawi Mungu wangu, na kipigo walichokipata kutoka kwa Mungu bado tu.Hawa washenzi Haiti wana soko la kuuziana uchawi ila kuuziana maendeleo hawana pumbavu kabisa
Masikini anazaa masikini ndicho kinacho endelea Afrika masikini kuongezeka kama utitiriUnaweza washinda watu wa Asia kuzaa?
Mafuta ya nchini mwao huenda wapi?Kwenye hii list hapa umeelewa nini? ππ
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1765064536107966708?t=c9vGNU44VkFBpqV6OjSJMA&s=19π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππππ
Yote matatizo yetuUshirikina, Uvivu, Chuki, Wivu,Tamaa, Uroho wa Mali na Madaraka.
Hivi watu weusi dunia kote tuna matatizo nini?
Inashangaza taifa la Haiti lililo huru kwa zaidi ya miaka 200 iliyopita toka miaka ya 1700s huko linazidiwa maendeleo na South Korea iliyo huru baada ya vita vya pili vya dunia miaka ya 1948 na iliyo ingia vita vya wenyewe kwa zaidi ya miaka mitatu.
Haiti ni moja ya nchi masikini sana duniani iliyojaa ujinga, uchawi na uhalifu uliopindukia.
Lakini South Korea ni miongoni mwa nchi zilizo endelea duniani licha ya kuchelewa kuwa huru ukilinganisha na Haiti.
Haiti lilikuwa taifa la kwanza la watu weusi kupata uhuru duniani lakini hali yake inasikitisha sana.
Maisha ya wa HaitiView attachment 2925906View attachment 2925907View attachment 2925908View attachment 2925910
Uchumi wa Haiti
GDP (nominal) $8 Bln
GDP (PPP) $19 Bln
GDP per Capita(nominal) $700
GDP per Capita(PPP )$1,700
GDP rank
145th (nominal)
143rd (PPP)
GDP per capita rank
172nd (nominal)
174th (PPP)
Maisha ya wa Korea kusini
View attachment 2925924View attachment 2925925View attachment 2925926View attachment 2925927View attachment 2925923
Uchumi wa South Korea
GDP(nominal)$1.7 trillion
GDP(PPP) $2.9 trillion
GDP per capita(nominal)$33,147
GDP per capita(PPP)$56,709
GDP rank
13th (nominal)
14th (PPP)
GDP per capita rank
31rd (nominal)
29th (PPP)
Hivi sisi tuna matatizo sehemu yoyote ile duniani hata tukiwa nje ya Afrika ? Maana huyo mwenzetu kapata uhuru toka miaka ya 1700s kazidiwa mbali kabisa na huyo South Korea wa baada ya vita vya pili vya dunia hapo juzi tu miaka ya 1948 pamoja ya kwamba alikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe tena miaka ya 1950-1953.
Wazungu wameweza kuleta maendeleo hata nje ya ulaya, wachina nao wameweza.
wazungu wametoka ulaya wamefanya maajabu Afrika kusini, Australia, Canada, Marekani, New Zealand n.k
Wachina wameweza kuibadili kabisa Singapore.
ila watu weusi Haiti anatuaibisha licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 200 iliyopita.
HIVI SISI TUNA MATATIZO GANI ?
Maajabu ya kuwaua Indigenous people?wazungu wametoka ulaya wamefanya maajabu Afrika kusini, Australia, Canada, Marekani, New Zealand n.k
Kama sio laana basi kuna shida kubwa sana mahaliMie nakubaliana na wazungu wanavyotuita watu weusi ni manyani, maana sio kwamba tunafanana na nyani NO! ila akili zetu ni kama za nyani. Mfano, Wawepo nyani wa 5 wamwagie ndizi kama 25 hivi, watazigombea hapo na wenye nguvu wanaweza kuondoka na ndizi 15 na mwingine 10 na hao wengine wa 3 wakaambulia patupu wabaki na njaa zao. Na watu weusi ndivyo tulivyo wachache wanaiba wanajilimbikizia mabilioni ya pesa na majumba makubwa makubwa wakati hawezi kuyaishi hayo yote na kuwaacha wengi wao hata kupata mlo mmoja ni tatizo. Kwa hio sishangai sana kwa hali hio ya Haiti na South Korea. Hata nchi nyingi za Africa zilipata uhuru miaka sawa na Singapore, Indonesia na Malaysia. Lakini leo angalia nchi za Africa zilivyo nyuma, UMEME TU NI SHIDA WA MGAO, MAJI YA BOMBA SHIDA na yakitoka MACHAFU na linganisha na Singapore au Indonesia. Ngozi nyeusi tuna shida ni laana hii.
"Miafrika ndivyo tulivyo" - Nyani Ngabu.
Huyo ni Hamu baba wa KanaaniKuna kifungu katika biblia kina sema watoto wa Nuhu walimchungulia baba yao wakati amelewa , mmoja akaanza kumcheka wawili wakaenda kumfunika, Kisha Nuhu alipopata ufahamu akatoa laana kwa huyu mtoto aliyekuwa anamcheka, ambaye Sasa inaoneka ni mtu mweusi kwamba atakuwa mtumwa wa wenzie. Kwa ujinga huu wa watu weusi inabidi tukubali tu maandishi ya kwenye bible.
Maadili yanayo acha wenzao masikini wa kupindukia mileleIla mwafrika ni bingwa wa kusuka madili makubwa tena ya kuthubutu.
Ulishawahi enda marekani ukaa hata kidogoHalafu kutwa kulalmikia wazungu black lives matter.
Ni ngumu kukutana na watu wa Asia wanaoishi marekani kulalamika wazungu hovyo hovyo wao wanapiga kazi wanapata elimu,pesa wanajazana tu kwenye makampuni makubwa kama wahindi, wachina
Kundi la wendawazimuKwenye hii list hapa umeelewa nini? ππ
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1765064536107966708?t=c9vGNU44VkFBpqV6OjSJMA&s=19π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππππ
Akishatia Maguu tu Mtu mweusi basi Ardhi inalaaniwa.Hivi watu weusi dunia kote tuna matatizo nini?
Inashangaza taifa la Haiti lililo huru kwa zaidi ya miaka 200 iliyopita toka miaka ya 1700s huko linazidiwa maendeleo na South Korea iliyo huru baada ya vita vya pili vya dunia miaka ya 1948 na iliyo ingia vita vya wenyewe kwa zaidi ya miaka mitatu.
Haiti ni moja ya nchi masikini sana duniani iliyojaa ujinga, uchawi na uhalifu uliopindukia.
Lakini South Korea ni miongoni mwa nchi zilizo endelea duniani licha ya kuchelewa kuwa huru ukilinganisha na Haiti.
Haiti lilikuwa taifa la kwanza la watu weusi kupata uhuru duniani lakini hali yake inasikitisha sana.
Maisha ya wa HaitiView attachment 2925906View attachment 2925907View attachment 2925908View attachment 2925910
Uchumi wa Haiti
GDP (nominal) $8 Bln
GDP (PPP) $19 Bln
GDP per Capita(nominal) $700
GDP per Capita(PPP )$1,700
GDP rank
145th (nominal)
143rd (PPP)
GDP per capita rank
172nd (nominal)
174th (PPP)
Maisha ya wa Korea kusini
View attachment 2925924View attachment 2925925View attachment 2925926View attachment 2925927View attachment 2925923
Uchumi wa South Korea
GDP(nominal)$1.7 trillion
GDP(PPP) $2.9 trillion
GDP per capita(nominal)$33,147
GDP per capita(PPP)$56,709
GDP rank
13th (nominal)
14th (PPP)
GDP per capita rank
31rd (nominal)
29th (PPP)
Hivi sisi tuna matatizo sehemu yoyote ile duniani hata tukiwa nje ya Afrika ? Maana huyo mwenzetu kapata uhuru toka miaka ya 1700s kazidiwa mbali kabisa na huyo South Korea wa baada ya vita vya pili vya dunia hapo juzi tu miaka ya 1948 pamoja ya kwamba alikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe tena miaka ya 1950-1953.
Wazungu wameweza kuleta maendeleo hata nje ya ulaya, wachina nao wameweza.
wazungu wametoka ulaya wamefanya maajabu Afrika kusini, Australia, Canada, Marekani, New Zealand n.k
Wachina wameweza kuibadili kabisa Singapore.
ila watu weusi Haiti anatuaibisha licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 200 iliyopita.
HIVI SISI TUNA MATATIZO GANI ?
Kucheza na kuimba Amapiano.Umeshasema ujinga, uchawi ,uhalifu, hiyo ndiyo kazi yao, hata South Africa nayo nisababu ya makaburu, wao kazi waifanyayo ni kucheza ngoma.
Hakuna nchi isiyo na historia na kunyonywaSoma Historia ya Haiti vizuri na Deni la Kitumwa walilokuwa wakimlipa Mfaransa na kuingiliwa na Marekani ili Watumwa wa Marekani wasiige KUPINDUA Serikali.
Mimi nimachoshangaa ni sisi Watu weusi wa Afrika kutokuisaidia Haiti hata ikibidi kutuma Majeshi na Misaada.
Huko ndipo tunapoelekea machafuko kuongezeka zaidiTatizo la africa linaeleweka wala tusijitoe uchizi na ndiyo maana wanaopiga nawo madili wanawacheka,
Viongozi wengi wao wakishapata madaraka hawawazi maendeleo ya nchi na kuwaza kizazi kijacho kitakuwa cha namna gani,
wanachowaza wao ni wao na familia zao!
sasa muda ukifika kwa kile kile kizazi cha nyoka chenye njaaa lazima pasikalike
Uko sahihi.Mkuu tatizo letu kubwa ni uongozi. Tukubali au tukatae, mtu mweusi kujiongoza hawezi. Tungekubali kuwa tuna hii weakness na tuitafutie solution tungefika mbali. Na solution ingekuwa ni kuwaajiri ''wazungu'' nafasi zote za uongozi au nafasi muhimu watuongoze. Sisi tubaki kuwa wafanyakazi tu. Naweza kuonekana kama mjinga kwa kujidharau mimi mwenyewe, lakini hakuna dharau mbaya kama hizi shida tunazopitia wakati tuna kila kitu hata kuwazidi mataifa makubwa. Hebu ona South Africa. Imeendelea kwa sababu wazungu ndiyo walikuwa viongozi. Waafrika siyo kwamba hawakushiriki kwenye kuijenga, hapana. Walishiriki sana lakini hawakuwa kwenye nafasi za uongozi.