Hivi watu weusi duniani kote tuna matatizo? Haiti ina miaka zaidi ya 200 ya uhuru lakini maendeleo haifikii South Korea

Hakuna nchi isiyo na historia na kunyonywa

Mbona Japan na Ujerumani walilipa sana gharama ya vita ya pili kwa Allied Powers tena hapa juzi na Leo wameshatusua,tena Karne ya 20

Hao Haiti kinachowasumbua ni uvivu na roho mbaya
We unaona Nchi ya Haiti na CCM wana tofauti?
 
Hata mie nilijiuliza huyu si msomi na anajiita msomi wa kiwango cha juu! Kule kwao nako wameendelea mkipita na basi wanakimbilia na mhindi mmoja mkononi nako wameendelea
 
Wanaenda kupiga madili
 
Upo sahihi Mimi mpaka huwa najiuliza hizi safari za viongozi wetu nje huwa wanaenda kujifunza wanayo yaona kwa hao walioendelea au wanaenda kutalii tu ?
 
Mimi nawaza kuja na ideas zangu kama mbil ivi, ni heavy maana ni uzalishaji wa ...sitasem moja kwa moja, ambpo nikifanikiwa nitatengeneza ajira za kudumu kwa vijana wa tz, ila nawaza sasa nitakavyopigwa vita na ccm, sjui mpk uwe benet nao dah mpk nakat tamaa, nawaza labd niende abroad.
 
Haiti ilihujumiwa sana, na kuwekewa mikakati kabisa isiendelee sababu ingekuwa mfano wa kuigwa na nchi nyingine hasa watumwa nvhi nyingine.

Otherwise ingekuwa mbali sana kimaendeleo.
Ingekuwa mbali wapi kwa kuendekeza uchawi ?

Washindwe kuhujumiwa wachina, wahindi waje wahujumiwe Haiti ?
 
Haiti ilihujumiwa sana, na kuwekewa mikakati kabisa isiendelee sababu ingekuwa mfano wa kuigwa na nchi nyingine hasa watumwa nvhi nyingine.

Otherwise ingekuwa mbali sana kimaendeleo.
Nenda pale Mauritius uone
Wahindi walipelekwa pale Kama watumwa wa mwingereza na Mfaransa Ili walime mashamba ya miwa na chai

Walienda kwa aibu,kwa mizengwe mingi ya wakoloni ila Leo nenda uone wanavyoishi utafikkiri wapo ulaya

Nenda Visiwa viwili vya Komoro na Mayotee

Vyote vilitawaliwa na Mfaransa,Comoro wakaomba uhuru huku Mayotte wakaomba kuendelwa kuwa chini ya Ufaransa

Miaka mingi,kila siku pale Komoro wanapinduana na wananchi wanapiga mbizi na kupanda mashuja waende Mayotee

Watu wapo tayari kufa maji Ili tu watoto wao wazaliwe Mayotee wapate papers na uraia wa Ufaransa Ili waende Ulaya

Waafrika bado sana,kidogo labda Botswana
 
Maajabu ya kuwaua Indigenous people?
Afrique kusini-Boers wameua.
Australian majambazi ya baulaya. Wezi -Wameua
Australia was a penal colony

Canada-Wameua.
New Zealand- Wameua

Unahita hayo maajabu.

Ukufe muroo
Hayo ni makosa yao. Kwani waafrika mlikuwa hamuuani kabla ya wazungu ?
 
Hakuna nchi isiyo na historia na kunyonywa

Mbona Japan na Ujerumani walilipa sana gharama ya vita ya pili kwa Allied Powers tena hapa juzi na Leo wameshatusua,tena Karne ya 20

Hao Haiti kinachowasumbua ni uvivu na roho mbaya
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…